Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Zarif: Migogoro ya eneo inatokana na sera za Marekani

    Zarif: Migogoro ya eneo inatokana na sera za Marekani

    May 01, 2019 08:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema migogoro ya Asia Magharibi inatokana na sera za Marekani zenye malengo ya muda mfupi, maamuzi ya upande mmoja na uhasama wa utawala wa sasa wa Marekani.

  • Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    May 01, 2019 08:22

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani ya kutaka kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya Iran yauzwe katika soko la kimataifa na kusema: "Marekani haiwezi kuizuia Iran kuuza mafuta na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itauza mafuta yake."

  • Maduro alipongeza jeshi la Venezuela kwa kuzima jaribio la mapinduzi

    Maduro alipongeza jeshi la Venezuela kwa kuzima jaribio la mapinduzi

    May 01, 2019 02:57

    Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuzima jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake, harakati ambazo anasema zinaungwa mkono na Marekani.

  • Trump afufua mpango wa kuiweka Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya ugaidi

    Trump afufua mpango wa kuiweka Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya ugaidi

    May 01, 2019 02:53

    Rais Donald Trump wa Marekani amehuisha uamuzi wake wa awali wa kuiweka harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya makundi ya kigaidi. Serikali ya Washington inaituhumu Ikhwanul Muslimin kuwa inaeneza ubaguzi katika eneo la Asia Magharibi.

  • Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi

    Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi

    Apr 30, 2019 22:41

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesaini kuwa sheria, muswada wa kuwatambua wanajeshi wote wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM) na vikosi vyote vinavyofungamana nao kuwa kundi la kigaidi.

  • Rouhani: Iran itaendelea kuuza mafuta licha ya mashinikizo ya Marekani

    Rouhani: Iran itaendelea kuuza mafuta licha ya mashinikizo ya Marekani

    Apr 30, 2019 07:57

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitasimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi licha ya mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani, na kusisitiza kuwa Tehran ina njia za kuuza mafuta yake.

  • Marekani: Saudia inaongoza kwa kukiuka uhuru wa kuabudu

    Marekani: Saudia inaongoza kwa kukiuka uhuru wa kuabudu

    Apr 30, 2019 07:52

    Kamisheni ya Kimataifa ya Kutathmini Uhuru wa Kuabudu ya Marekani (USCIRF) imeitaja Saudi Arabia kama moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa kukiuka uhuru wa kuabudu.

  • Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Apr 29, 2019 23:32

    Tokea mwezi Machi 2015 Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, zimekuwa zikiendesha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen. Marekani na Uingereza pia zimekuwa na mchango mkubwa katika vita hivyo kwa kuzipa nchi mbili hizo za Kiarabu msaada mkubwa wa kilojistiki, habari za siri na kijeshi.

  • Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Apr 29, 2019 02:28

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameitaja Saudi Arabia kama mzizi wa ukosefu wa uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa kifalme ndio unaofadhili na kugharamia jinai zinazofanywa na Marekani na utawala haramu wa Israel katika eneo.

  • IMF: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinavuruga ukuaji wa uchumi katika eneo

    IMF: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinavuruga ukuaji wa uchumi katika eneo

    Apr 29, 2019 02:24

    Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umesema vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimedumaza ukuaji wa uchumi katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS