Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Bi. Hashemi aachiliwa huru, asisitiza maandamano dhidi ya Marekani

    Bi. Hashemi aachiliwa huru, asisitiza maandamano dhidi ya Marekani

    Jan 24, 2019 01:11

    Hatimaye utawala wa Marekani imemuachulia huru bila kumfugulia mashtaka mtangazaji wa Press TV, Bi. Marzieh Hashemi baada ya kumshikilia kizuizini kinyume cha sheria kwa muda wa siku 11.

  • Mkuu wa IRIB: Kuanza kwa hamasa muongo wa tano wa Mapinduzi ya Kiislamu mwanzo wa kusambaratika Marekani

    Mkuu wa IRIB: Kuanza kwa hamasa muongo wa tano wa Mapinduzi ya Kiislamu mwanzo wa kusambaratika Marekani

    Jan 24, 2019 00:36

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sherehe za mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu zitafanyika kwa hamasa zaidi kuliko miaka yote na kwamba, kuanza muongo wa tano wa Mapinduzi ya Kiislamu ni marhala na mwanzo wa kusambaratika Marekani.

  • Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Jan 24, 2019 00:35

    Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani

    Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani

    Jan 23, 2019 04:12

    Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema Wapalestina hawataki msaada wowote kutoka kwa Marekani, baada ya Washington kutangaza kuwa itapunguza kiwango cha msaada wake wa kibinadamu kwa wananchi wa Palestina.

  • Mgombea urais Marekani 2020: Ni vyema kufanyika mazungumzo na wapinzani badala ya kuwatangazia vita

    Mgombea urais Marekani 2020: Ni vyema kufanyika mazungumzo na wapinzani badala ya kuwatangazia vita

    Jan 22, 2019 23:18

    Mgombea urais katika uchaguzi wa 2020 nchini Marekani amesema kwamba kufanyika mazungumzo na wapinzani wa Washington ni njia bora kuliko kufanya nao vita.

  • Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Jan 22, 2019 11:41

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Muqawama wa Kiislamu la Harakati ya Nujabaa nchini Iraq amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya muqawama, vinaonyesha kufeli njama za Washington katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Wimbi la kujiuzulu wafanyakazi wa serikali ya Marekani laongezeka

    Wimbi la kujiuzulu wafanyakazi wa serikali ya Marekani laongezeka

    Jan 22, 2019 11:35

    Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuendelea kufunga shughuli za serikali ya Kuu na kuendelea kutowalipa mishahara wafanyakazi wake, imewafanya akthari ya wafanyakazi wa serikali hiyo kujiuzulu au kuomba kustaafu mapema.

  • Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Jan 22, 2019 04:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kumkamata, kumadhalilisha na kumzuilia kinyume cha sheria, mwandishi wa habari wa Press TV, Marzieh Hashemi imeweka bayana tena namna nchi hiyo inavyokiuka haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Kutoshiriki Mogherini katika mkutano wa Warsaw, pigo jingine dhidi ya Marekani

    Kutoshiriki Mogherini katika mkutano wa Warsaw, pigo jingine dhidi ya Marekani

    Jan 22, 2019 03:41

    Katika fremu ya siasa zake za kuipiga vita Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Marekani imeanzisha jitihada kubwa za kuitisha mkutano wa kutafuta mwafaka wa kimataifa dhidi ya Iran.

  • Uwezekano wa kutimuliwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani waongezeka

    Uwezekano wa kutimuliwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani waongezeka

    Jan 21, 2019 08:59

    Ripoti mbalimbali kutoka Marekani zinasema kuwa, kuna uwezekano mkubwa kwamba, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo atatimuliwa kazi kutokana na kushadidi hitilafu ndani ya Ikulu ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS