Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Rouhani: Wamarekani hawathubutu kujitokeza hadharani mbele ya wananchi wa mataifa ya eneo

    Rais Rouhani: Wamarekani hawathubutu kujitokeza hadharani mbele ya wananchi wa mataifa ya eneo

    Jan 02, 2019 11:47

    Rais Hassan Rouhani ameashiria safari ya siri aliyofanya rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq na kueleza kwamba: Wamarekani hawathubutu kujitokeza hadharani mbele ya wananchi wa Iraq, Syria, Lebanon na Yemen.

  • Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran

    Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran

    Jan 02, 2019 11:47

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema Marekani haiwezi na haipaswi kuitwisha EU sera zake na kwamba umoja huo wenye nchi wanachama 28 hautairuhusu Washington iufanyie maamuzi juu ya uhusiano wake wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Carter: Dunia inakabilwia na hatari ya

    Carter: Dunia inakabilwia na hatari ya "Vita Baridi vya Kisasa"

    Jan 01, 2019 23:19

    Rais wa zamani wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo inaingia tena katika Vita Baridi lakini mara hii ni dhidi ya China.

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 04:47

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

  • Ayatullah Nouri Hamedani: Kutoka Wamarekani Syria ni ushindi kwa jamii nzima ya Waislamu

    Ayatullah Nouri Hamedani: Kutoka Wamarekani Syria ni ushindi kwa jamii nzima ya Waislamu

    Dec 29, 2018 23:20

    Mmoja wa marajii na wanachuoni wakubwa wa Kiislamu wa madhehebu ya Kishia amesema kuwa, kutoka Wamarekani nchini Syria ni ushindi kwa jamii nzima ya Kiislamu.

  • Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Dec 29, 2018 04:42

    Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la Harvard CAPS kwa ushirikiano na taasisi ya utafiti ya Harris umeonesha kuwa akthari ya Wamarekani wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo auziliwe au avuliwe madaraka.

  • Marekani imeshatumia dola bilioni 130 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel tangu kuundwa kwake

    Marekani imeshatumia dola bilioni 130 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel tangu kuundwa kwake

    Dec 28, 2018 21:38

    Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miongo saba iliyopita tangu ulipoasisiwa utawala wa Kizayuni wa Israel, serikali ya Marekani imegharimika na kutumia dola bilioni 170 kwa ajili ya kuuhami na kuulinda utawala huo bandia.

  • Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Dec 28, 2018 12:39

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, ameashiria safari ya kificho na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani, akifuatana na mkewe Melania nchini Iraq na kusema kuwa, licha ya Marekani kutumia matrilioni ya dola katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini rais wake amelazimika kufanya safari ya siri katika nchi moja ya eneo.

  • Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani

    Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani

    Dec 28, 2018 02:57

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa, nchi hiyo itajiondoa katika mkataba wa makombora ya nyuklia ya masafa ya kati maarufu kwa kifupi kwa jina la INF.

  • Meja Jenerali Safavi: Marekani haina nafasi tena Mashariki ya Kati

    Meja Jenerali Safavi: Marekani haina nafasi tena Mashariki ya Kati

    Dec 27, 2018 11:15

    Msaidizi na Mshauri mwandamizi wa Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani haina nafasi tena katika eneo la Mashariki ya Kati na kwa msingi huo Wamarekani wanapaswa kuondoa katika eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS