Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Sep 24, 2018 22:54

    Ripoti mpya imefichua kuwa Marekani imekuwa ikipanua kisiri uwepo wake wa kijeshi nchini Tunisia, licha ya upinzani kusisitiza kuwa kitendo hicho ni uingiliaji wa masuala ya ndani na kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo.

  • Iran: Ndoto ya Marekani ya kuzuia uuzwaji mafuta ya nchi hii, haina tafsiri

    Iran: Ndoto ya Marekani ya kuzuia uuzwaji mafuta ya nchi hii, haina tafsiri

    Sep 24, 2018 10:49

    Waziri wa Mafuta wa Iran sambamba na kubainisha kwamba mbali na Korea Kusini, hakuna nchi iliyocha kununua mafuta ya nchi hii na kusisitiza kuwa, ndoto ya Marekani ya kusimamisha kabisa uuzaji nje mafuta ya Iran haitathibiti.

  • Wanafunzi wenye asili ya Afrika wazidi kunyanyaswa na polisi wa Marekani

    Wanafunzi wenye asili ya Afrika wazidi kunyanyaswa na polisi wa Marekani

    Sep 23, 2018 23:27

    Matokeo ya uchunguzi uliosambazwa hivi karibuni kabisa unaonesha kuongezeka ukandamizaji na unyanyasaji wa polisi wa Marekani dhidi ya wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari wenye asili ya Afrika katika mji wa Philadelphia.

  • Iran yalalamikia ripoti mpya ya Marekani kuhusu ugaidi

    Iran yalalamikia ripoti mpya ya Marekani kuhusu ugaidi

    Sep 23, 2018 12:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai yaliyomo kwenye ripoti ya kila mwaka ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani kuhusu ugaidi ni ya kinafiki kama ilivyokuwa kwa ripoti zote za kila mwaka za wizara hiyo.

  • Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo katika kuboreka hali ya mambo Ghaza

    Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo katika kuboreka hali ya mambo Ghaza

    Sep 23, 2018 10:32

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kikwazo kikuu katika kuboreka hali ya mambo ya Ukanda wa Ghaza.

  • Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Sep 22, 2018 23:11

    Duru za kuaminika za Syria zimetangaza kuwa muungano wa kijeshi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani wa eti kupambana na DAESH (ISIS) umewatorosha viongozi kadhaa wa kundi hilo la kigaidi na ukufurishaji katika eneo la Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.

  • Trump anajiandaa kukutana na Kim Jong-un, huku Russia ikiikosoa Marekani

    Trump anajiandaa kukutana na Kim Jong-un, huku Russia ikiikosoa Marekani

    Sep 22, 2018 23:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amesema kuwa, Rais wa nchi hiyo Donald Trump anajiandaa kwa mkutano wa pili na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini.

  • Iran yakanusha madai ya kuomba kufanya mazungumzo na Trump

    Iran yakanusha madai ya kuomba kufanya mazungumzo na Trump

    Sep 21, 2018 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama kichekesho madai kwamba taifa hili limeomba kufanya mkutano na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Wabunge wa Kisuni Iraq: Marekani inatushinikiza tumteue tena Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu

    Sep 20, 2018 10:53

    Mjumbe wa Mrengo wa Ujenzi wa Iraq ambaye pia ni mbunge wa Kisuni katika Bunge la nchi hiyo amefichua kuwa serikali ya Marekani inawashinikiza wabunge wote wa Kisuni nchini Iraq wamuungE mkono Haider al-Abadi ili ateuliwe tena kuwa waziri mkuu.

  • Marekani: Tupo tayari kuanza upya mazungumza na Korea Kaskazini

    Marekani: Tupo tayari kuanza upya mazungumza na Korea Kaskazini

    Sep 20, 2018 10:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kuanza haraka mazungumzo ya kutokomeza silaha za nyuklia za Korea Kaskazini na kwamba mazungumzo hayo yatakamilika ifikapo mwezi Januari 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS