-
Erdoğan: Uturuki itayashinda matatizo ya kiuchumi
Sep 20, 2018 10:34Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake inaweza kuyashinda matatizo ya kiuchumi yanayoikabili.
-
Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA
Sep 18, 2018 07:06Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalitiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1, linaloundwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, China, Russia pamoja na Ujerumani na kuanza kutekelezwa Januari 2016.
-
Qassemi: Madola huru yasimame kukabiliana na saiasa za kibeberu za Marekani
Sep 17, 2018 10:55Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Afghanistan na India kuhusiana na kuimarisha ushirikiano wa kieneo kilikuwa na mafanikio.
-
Ukosoaji wa ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa dhidi ya vikwazo vya upande mmoja
Sep 16, 2018 02:49Ulimwengu wa magharibi ukiwa na shabaha ya kutwisha matakwa na kusukuma mbele gurudumu la malengo yake, daima umekuwa ukitumia wenzo wa vikwazo.
-
Mawaziri wa G20 wataka mabadiliko WTO kukabiliana na uhasama wa Marekani
Sep 15, 2018 20:43Mawaziri wa biashara na uwekezaji wa nchi tajiri duniani za kundi la G20 wamesema kuna haja ya kufanyika mabadiliko ya dharura katika Shirika la Biashara Duniani WTO kukabiliana na vita vya kibiasahra vya Marekani dhidi ya China.
-
Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Sep 15, 2018 03:29Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.
-
Katibu Mkuu wa UN ahimiza mwenendo wa kukomeshwa satua ya Marekani duniani
Sep 14, 2018 09:49Tangu Donald Trump aliposhika hatamu za kuiongoza Marekani amekuwa akitekeleza siasa za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja kuhusiana na masuala ya kimataifa. Ikulu ya Rais wa Marekani,White House, tofauti kabisa na uhakika wa mambo, inadai kwamba siasa za Trump zimeipa tena Marekani usukani wa kuiongoza dunia, madai ambayo yamewashangaza wachambuzi na weledi wa mambo.
-
Salami: Maadui wa Iran wamedhoofika, Marekani imezidi kutengwa
Sep 14, 2018 02:52Kaimu Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, maadui wa Iran wamedhoofika sana na kuongeza kwamba, hivi sasa Marekani imetengwa zaidi kimataifa zaidi ya wakati wowote ule na inahasimiana na nchi kadhaa zikiwemo China, Russia, Canada, Uturuki na Umoja wa Ulaya.
-
Marekani haina mwamana, yaiwekea vikwazo vingine vipya Korea Kaskazini
Sep 13, 2018 22:57Wizara ya Hazina ya Marekani imeweka vikwazo vingine vipya dhidi ya watu na mashirika yenye mfungamano na Korea Kaskazini.
-
Sisitizo la Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya ulazima wa kudhaminiwa usalama wa kimataifa wa Korea Kaskazini
Sep 13, 2018 21:56Mgogoro wa Rasi ya Korea ni moja ya masuala ambayo Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyapa umuhimu mkubwa, tangu alipoingia madarakani nchini humo.