Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Sep 05, 2018 22:25

    Idadi kubwa ya Wapalestina wamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wakilalamikia hatua ya serikali ya Washington ya kukata misaada yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Ajili ya Wapalestina (UNRWA).

  • Ayatullah Jannati: Kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya Iran liwe funzo

    Ayatullah Jannati: Kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya Iran liwe funzo

    Sep 04, 2018 09:02

    Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ahamad Jannati ameashiria Marekani kuvunja ahadi zake na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA, na kusema hilo linapaswa kuwa funzo kuhusu mazungumzo na Marekani.

  • Hizbullah: Marekani haina ubavu wa kuwawekea masharti walioshinda vita Syria

    Hizbullah: Marekani haina ubavu wa kuwawekea masharti walioshinda vita Syria

    Sep 04, 2018 03:37

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa Marekani ambayo sera zake za kuyasaidia makundi ya kigaidi kwa ajili ya kuindoa madarakani serikali halali ya Syria zimefeli na kushindwa haina haki na ubavu wa kutoa masharti ya kuondoka washauri wa kijeshi wa Iran na wapiganaji wa Hizbullah nchini Syria ambao wameshinda vita dhidi ya magaidi.

  • Kuongezeka uwezekano wa kujiuzulu Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Kuongezeka uwezekano wa kujiuzulu Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Sep 03, 2018 22:08

    Suala la uwezekano wa kujiuzulu James Mattis, Waziri wa Ulinzi wa Marekani limeendelea kupata nguvu kutokana na kushtadi tofauti katika ikulu ya Marekani (White House).

  • Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Sep 03, 2018 22:04

    Maamuzi ya upande mmoja ya kisiasa na kimabavu ya Marekani katika kipindi cha utawala wa rais Donald Trump yanaendelea kukabiliwa na upinzani kote duniani.

  • Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Sep 03, 2018 03:24

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, kukombolewa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria ambayo ni ngome ya mwisho ya magaidi katika nchi hiyo litakuwa pigo kubwa kwa Magharibi, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia.

  • Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Sep 02, 2018 01:26

    Ushindi mkubwa linaoendelea kuupata jeshi la Syria na waitifaki wake katika maeneo tofauti ya nchi hiyo, na hatua ya jeshi hilo ya kujiandaa hivi sasa kuusafisha mkoa wa Idlib kutokana na uchafu wa magenge ya kigaidi, imewatia kiwewe waungaji mkono wa magaidi hao yaani nchi za Magharibi na hasa Marekani. Mkoa wa Idlib ndiyo ngome ya mwisho wa magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Radiamali ya Wapalestina baada ya kukatwa kikamilifu misaada ya Marekani kwa UNRWA

    Radiamali ya Wapalestina baada ya kukatwa kikamilifu misaada ya Marekani kwa UNRWA

    Sep 01, 2018 21:48

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kuchukuliwa hatua kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na njama za Washington dhidi ya Palestina. Hiyo ni baada ya Marekani kuchukua uamuzi wa kukata kikamilifu misaada yake ya kifedha kwa Shirika la Umoja wa Mataifa Linalotoa Misaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina.

  • Katibu Mkuu wa UN akosoa vikali uamuzi wa Marekani wa kukata misaada yake kwa UNRWA

    Katibu Mkuu wa UN akosoa vikali uamuzi wa Marekani wa kukata misaada yake kwa UNRWA

    Sep 01, 2018 09:36

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na shirika la umoja huo la ufikishaji misaada na uandaaji ajira kwa ajili ya wakimbizi Wapalestina UNRWA wamelaani uamuzi wa Marekani wa kukata misaada yake kwa shirika hilo la Umoja wa Mataifa.

  • Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Kuendelea kupingwa uingiliaji wa Marekani katika mchakato wa kuundwa serikali mpya nchini Iraq

    Aug 31, 2018 02:01

    Kongresi ya Taifa ya Iraq imesisitiza kuwa, uingilkiaji wa Marekani katika suala la kuundwa serikali mpya ya nchi hiyo umezidi kuvuruga hali ya kisiasa na kuzidi kuufanya tata mwenendo wa kisiasa wa Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS