-
Waziri wa Sheria Marekani aamuru kutimuliwa haraka wahajiri
Aug 17, 2018 23:45Waziri wa Sheria wa Marekani ameendeleza siasa za serikali ya nchi hiyo ya kupiga vita wahajiri kwa kutoa amri ya kufukuzwa haraka wahajiri haramu nchini humo.
-
Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran
Aug 17, 2018 23:44Serikali ya Marekani imezitishia tena kuziwekea vikwazo nchi zinazonunua mafuta kutoka Iran ikiwemo China.
-
Katika muendelezo wa uhasama wa Marekani dhidi ya Iran; Kundi la Uchukuaji Hatua laundwa
Aug 17, 2018 23:43Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) imekuwa ikichukua hatua za kushadidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika pande tofauti.
-
Pentagon yapinga amri ya Trump ya kufanya gwaride la kuwakumbuka maveterani wa vita
Aug 17, 2018 10:32Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kwamba haitotekeleza amri ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kufanya gwaride la kijeshi katika siku ya kuwakumbuka maveterani wa vita.
-
Pentagon: China inajitayarisha kuishambulia Marekani
Aug 17, 2018 00:11Ripoti iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon imesema kuwa jeshi la China limepanua operesheni za ndege zake za kivita katika miaka ya hivi karibuni na kwamba kuna uwezekano kwamba zinafanya mazoezi ya kufanya mashambulizi dhidi ya Marekani na waitifaki wake.
-
AI: Kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao Marekani ni jinai mbaya zaidi duniani
Aug 16, 2018 22:52Mkurugenzi Mkuu mpya wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) amesema kuwa, hatua iliyochukuliwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri ni miongoni mwa jinai mbaya zaidi zilizowahi kushuhudiwa duniani.
-
Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi
Aug 16, 2018 08:47Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.
-
Msimamo wa Russia kuhusu bajeti mpya ya jeshi ya Marekani
Aug 16, 2018 05:23Bajeti ya masuala ya kijeshi isiyo na kifani ya dola bilioni 716 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani imekabiliwa na radiamali kali katika upeo wa kimataifa.
-
Marekani haina mwamana, imeiwekea vikwazo vipya Korea Kaskazini
Aug 16, 2018 02:55Licha ya Korea Kaskazini kufanya mazungumzo na Marekani na kulegeza mno misimamo yake, lakini Wizara ya Hazina ya Marekani imeamua kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Pyongyang.
-
Rouhani: Adui ataingia nayo kaburini ndoto yake ya kuishinda Iran
Aug 15, 2018 10:34Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shabaha ya vikwazo vya adui dhidi ya Iran ni kuwaweka katika matatizo wananchi wa taifa hili na kusisitiza kuwa, adui kamwe haiwezi kuishinda Iran bali njozi na ndoto yake hiyo atakwenda nayo kaburini.