Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Jul 27, 2018 00:13

    Kituo kimoja cha utafiti nchini Marekani kimefichua kuwa serikali ya zamani ya nchi hiyo ilikuwa ikilifadhili kifedha tawi la kundi la kigaidi la al Qaida huko Sudan.

  • Mahakama ya ICJ yatangaza tarehe ya kusikiliza mashtaka yaliyowasilishwa na Iran dhidi ya Marekani

    Mahakama ya ICJ yatangaza tarehe ya kusikiliza mashtaka yaliyowasilishwa na Iran dhidi ya Marekani

    Jul 26, 2018 23:11

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imetangaza tarehe ya kusikiliza mashtaka yaliyowasilishwa na Iran dhidi ya Marekani ikiwa zimepita siku kumi baada ya Iran kuwasilisha mashtaka hayo kufuatia hatua ya Marekani ya kuiwekea Iran vikwazo kinyume cha sheria.

  • Meja Jenerali Suleimani: Kuanzisha vita na Iran maana yake ni kuangamia Marekani

    Meja Jenerali Suleimani: Kuanzisha vita na Iran maana yake ni kuangamia Marekani

    Jul 26, 2018 09:59

    Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ameashiria bwabwaja na vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran na kusema kuwa, kuanzisha vita na taifa hili maana yake ni kuangamia suhula zote za Marekani.

  • Hizbullah: Marekani imehusika katika jinai ya mauaji ya mji wa As-Suwayda, Syria

    Hizbullah: Marekani imehusika katika jinai ya mauaji ya mji wa As-Suwayda, Syria

    Jul 26, 2018 09:40

    Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon imetoa taarifa ikisema kuwa, harakati za makundi ya kigaidi katika eneo la al-Tanf ni hatari kubwa na kwamba Marekani imeshiriki katika jinai kubwa dhidi ya raia wa mji wa As-Suwayda kusini mwa Syria.

  • Ndoto ya Pompeo kuhusu kusalimu amri Iran nchi ambayo  katu haifuati matakwa ya Marekani

    Ndoto ya Pompeo kuhusu kusalimu amri Iran nchi ambayo katu haifuati matakwa ya Marekani

    Jul 26, 2018 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa mara nyingine ameonyesha wazi mwelekeo ulio dhidi ya Iran wa nchi yake na kudai kuwa: "Mashinikizo ya Marekani yamebadilisha mwenendo na sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati."

  • Rouhani: Umoja wa Wairani ni jibu imara kwa matamshi ya kipuuzi ya viongozi wa Marekani

    Rouhani: Umoja wa Wairani ni jibu imara kwa matamshi ya kipuuzi ya viongozi wa Marekani

    Jul 25, 2018 08:59

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vitisho hewa na visivyo na msingi vya baadhi ya viongozi wa Marekani havistahili kujibiwa na kueleza kuwa: Kutotetereka, kuwa na umoja na kutojali vitisho na njama za Marekani na kufanya juhudi za kuzisambaratisha njama za maadui, ndiyo jibu lenye nguvu zaidi la taifa la Iran kwa matamshi ya kipuuzi ya watawala wa Marekani.

  • Wasiwasi wa Marekani juu ya kupanuka zaidi harakati ya kususiwa Israel

    Wasiwasi wa Marekani juu ya kupanuka zaidi harakati ya kususiwa Israel

    Jul 25, 2018 07:10

    Balozi na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley amehutubia mkutano wa jumuiya ya Muungano wa Wakristo kwa Ajili ya Israel (Christians United for Israel) ambako ametoa wito wa kukabiliana na harakati ya kususiwa utawala wa Kizayuni wa Israel, BDS kwa kifupi.

  • Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Jul 25, 2018 03:48

    Licha ya kuweko uadui na uhasama wa Marekani dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka takribani 40 tangu kuasisiwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, lakini katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, uadui huo ulishadidi zaidi iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi na hata baada ya kuingia madarakani.

  • Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 20:49

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.

  • Hotuba ya Mike Pompeo dhidi ya Iran yazomewa

    Hotuba ya Mike Pompeo dhidi ya Iran yazomewa

    Jul 23, 2018 09:32

    Matamshi mabaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo, yamekabiliwa na ukosolewaji mkali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS