Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuendelea siasa za mashinikizo ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Kuendelea siasa za mashinikizo ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 22, 2018 09:16

    Ikiwa ni karibu mwezi mmoja umepita tangu Rais Donald Trump na Kim Jong-un wa Korea Kaskazini wakutane nchini Singapore, Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, kabla ya kujadiliwa suala la kuondolewa vikwazo dhidi ya Pyongyang, nchi hiyo inatakiwa ipige hatua za kivitendo na kwamba kabla ya hatua hizo kupigwa, mashinikizo zaidi dhidi ya Korea Kaskazini yataongezeka.

  • China yasisitiza kukabiliana na vitisho vya kibiashara vya Marekani

    China yasisitiza kukabiliana na vitisho vya kibiashara vya Marekani

    Jul 21, 2018 22:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China na katika radiamali yake juu ya vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuziwekea ushuru wa zaidi ya Dola bilioni 500 bidhaa za China zinazoingizwa nchi yake, imesema kuwa Beijing haitosalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho vya Washington.

  • Ripoti: Maelfu ya Wamarekani wanaishi katika utumwa mamboleo

    Ripoti: Maelfu ya Wamarekani wanaishi katika utumwa mamboleo

    Jul 21, 2018 10:08

    Matokeo ya uchunguzi wa kimataifa uliofanyika nchini Marekani yameonesha kuwa, Maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaishi katika hali mbaya iliyopewa jina la "utumwa mamboleo".

  • Zarif: Silaha zinazouzwa nje na Marekani zinavuruga amani ya dunia

    Zarif: Silaha zinazouzwa nje na Marekani zinavuruga amani ya dunia

    Jul 19, 2018 11:08

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa gharama kubwa ya masuala ya kijeshi inayotumiwa na Marekani akisema suala hilo linavuruga amani na usalama wa dunia.

  • Hatua mpya ya Umoja wa Ulaya ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya ya Umoja wa Ulaya ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jul 18, 2018 05:31

    Licha ya kuendelea vitisho vya Marekani kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran JCPOA, Umoja wa Ulaya umepitisha sheria ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran inayojulikana kama 'Sheria Zuizi.'

  • AEOI: Iran ipo tayari kuimarisha urutubishaji urani JCPOA ikifeli

    AEOI: Iran ipo tayari kuimarisha urutubishaji urani JCPOA ikifeli

    Jul 18, 2018 02:56

    Behrouz Kamalvandi, Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema Tehran iko tayari kuimarisha urutubishaji urani kwa kiwango cha juu iwapo jitihada za Umoja wa Ulaya za kuyanasuru makubaliano ya nyuklia ya Iran zitagonga mwamba.

  • Marekani yazishitaki nchi tano waitifaki zilizolipiza kisasi sakata la ushuru wa biashara

    Marekani yazishitaki nchi tano waitifaki zilizolipiza kisasi sakata la ushuru wa biashara

    Jul 17, 2018 11:58

    Chombo kimoja cha habari nchini Marekani kimeripoti kwamba serikali nchi hiyo imezishitaki katika Shirika la Biashara Duniani nchi tano washirika wake kutokana na hatua ya nchi hizo kulipiza kisasi cha kuzipandishia ushuru wa forodha wa bidhaa za Marekani.

  • Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Iran: Njama za Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji nje mafuta ni ndoto

    Jul 17, 2018 11:16

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Es'haq Jahangiri amesema kuwa njama za Marekani za kutaka kutuzuia uuzaji nje mafuta ya Iran ni ndoto potofu.

  • EU yapinga mashinikizo ya Marekani kuitenga Iran

    EU yapinga mashinikizo ya Marekani kuitenga Iran

    Jul 17, 2018 02:39

    Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya amesema EU haiwezi kuburuzwa na Marekani na kushinikizwa kuitenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif: Iran imeishtaki Marekani ICJ kutokana na kurejeshwa vikwazo

    Zarif: Iran imeishtaki Marekani ICJ kutokana na kurejeshwa vikwazo

    Jul 16, 2018 22:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasilisha mashtaka dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu kulalamikia hatua iliyo kinyume cha sheria ya Washington ya kuiwekea tena Tehran vikwazo vya upande moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS