Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Jul 15, 2018 23:08

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa hili ni vya kidhulma na kuongeza kwamba, jamii ya kimataifa inapaswa kusimama kidete na kukabiliana na vikwazo hivyo.

  • Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Jul 15, 2018 05:35

    Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuuhusu Umoja wa Ulaya.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Jul 15, 2018 02:36

    Baada ya kuibuka machafuko ya ndani nchini Syria mwaka 2011, Marekani na waitifaki wake walianza kuunga mkono makundi ya kigaidi yaliyoibua ghasia kwa lengo la kuipundua serikali halali ya nchi hiyo.

  • Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Jul 14, 2018 09:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Palestina ameashiria njama na hatua za ukwamishaji mambo za Marekani katika kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Mashariki ya Kati na kuitaka China isaidie juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

  • Dogu Perinçek: Uturuki ni lazima ishirikiane na Iran

    Dogu Perinçek: Uturuki ni lazima ishirikiane na Iran

    Jul 14, 2018 09:29

    Mkuu wa chama cha Patriotic nchini Uturuki, amesisitiza juu ya ulazima wa nchi hiyo kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, hata baada ya Tehran kuwekewa vikwazo.

  • Rouhani: Nchi nyingi za dunia zimetangaza kutofuata sheria za ndani za Marekani

    Rouhani: Nchi nyingi za dunia zimetangaza kutofuata sheria za ndani za Marekani

    Jul 14, 2018 09:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, serikali ya Tehran imekuwa na mazungumzo mazuri na nchi mbalimbali za Ulaya, China, Russia, nchi jirani na mataifa muhimu ya Asia na akthari ya nchi hizo zimetangaza kwamba, hazifuati sheria za ndani za Marekani.

  • Wamarekani waandamana Washington kutetea Palestina

    Wamarekani waandamana Washington kutetea Palestina

    Jul 13, 2018 22:51

    Raia wa Marekani wamefanya maandamano mjini Washington wakipinga mpango wa Marekani dhidi ya Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".

  • Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki

    Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki

    Jul 13, 2018 22:51

    Katibu Mkuu wa harakati ya Ansurulla nchini Yemen amesema kuwa Uislamu wa Kimarekani, Kisaudia na Kiimarati ni Uislamu wa kinafiki unaopingana na asili ya Uislamu.

  • Barua ya Syria kwa UN kufuatia jinai za muungano wa kijeshi wa Marekani

    Barua ya Syria kwa UN kufuatia jinai za muungano wa kijeshi wa Marekani

    Jul 13, 2018 22:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la umoja huo ikitaka kuchunguzwa jinai zilizofanywa na muungano vamizi wa kijeshi wa Marekani katika viunga vya mji wa al Bukamal nchini humo.

  • Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Jul 13, 2018 10:45

    Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesisitiza kuwa Iran na Russia zitaendelea kuwepo huko Syria na kwamba Iran haitaondoka nchini humo kwa vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS