-
Unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake umekita mizizi katika sekta za elimu nchini Marekani
Jun 13, 2018 21:53Matokeo mapya kabisa ya uchunguzi yanaonyesha kwamba, nusu ya wanawake wanaofanya kazi katika sekta za elimu na teknolojia nchini Marekani, wako katika hatari kubwa ya kubakwa na kudhalilishwa kijinsia.
-
Indhari ya Russia kwa Korea Kaskazini kuhusiana na ahadi za Marekani
Jun 13, 2018 10:57Japokuwa mkutano wa Rais Donald Trump wa Marekani na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini umepokelewa vyema na viongozi wa Russia, lakini wakati huo huo Moscow imeionya Pyongyang kwamba haifai kuamini kikamilifu ahadi za Marekani.
-
Rouhani: Iran itajiondoa JCPOA iwapo haitadhaminiwa maslahi yake
Jun 13, 2018 02:45Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo itahisi haistafidi wala kupata maslahi yoyote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua raia 12 nchini Syria
Jun 12, 2018 23:27Mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kijeshi za Marekani yameua raia wasiopungua 12 na kujeruhi wengine wengi katika mkoa wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Rais wa Korea Kusini: Uhusiano wa Marekani na Korea Kaskazini hautaboreka kirahisi
Jun 11, 2018 23:24Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amesema, uhusiano uliotawaliwa na uhasama na uadui wa muda mrefu kati ya Marekani na Korea Kaskazini hautaboreka kwa mkutano utakaofanyika leo nchini Singapore kati ya viongozi wa nchi hizo mbili.
-
Tahadhari kali ya Putin kuhusu athari mbaya za kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Jun 11, 2018 02:27Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali uamuzi wa Marekani wa kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA akisema unatishia usalama na amani ya Mashariki ya Kati.
-
Harakati ya Nujabaa: Daesh ni mradi wa Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake
Jun 10, 2018 12:18Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Nujaba ya nchini Iraq amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ni njia nzuri ya Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kikoloni na kiuchumi kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani na Uingereza ni wavamizi nchini Syria
Jun 10, 2018 03:22Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, madola ya Magharibi hayawezi kuiainishia nchi hiyo mustakbali wake na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa Uingereza na Marekani walioko nchini humo ni wavamizi.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni sawa na 'ugaidi wa kiuchumi'
Jun 09, 2018 06:44Kurejesha vikwazo vya miaka ya nyuma na wakati huo huo kuongeza vikwazo vipya kwa lengo la kushadidisha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran ni kati ya sera zisizobadilika za Marekani. Sera hizi si jingine ila ni ugaidi wa kiuchumi.
-
Kujitoa Marekani kwenye JCPOA na kupoteza itibari katika mazungumzo na Korea Kaskazini
Jun 09, 2018 02:40Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema, kuna ulazima wa kuyadumisha makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA na kubainisha kwamba: Wakati makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanalegalega, mwafaka wenye uwezekano wa kufikiwa kati ya Marekani na Korea Kaskazini nao pia hautokuwa na itibari yoyote.