Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    May 23, 2018 02:56

    Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani

    Venezuela yawatimua wanadiplomasia wa Marekani

    May 23, 2018 02:51

    Venezuela imewafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa ngazi za juu wa Marekani, ikiwa ni radiamali ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini ya kujibu uhasama mpya wa Washington wa kushadidisha vikwazo dhidi yake.

  • Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imewapatia kinga Wazayuni na Wasaudi ya kushambulia raia

    Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imewapatia kinga Wazayuni na Wasaudi ya kushambulia raia

    May 22, 2018 23:55

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni na ule wa Aal Saud zinaungwa mkono na Marekani kwa kuwa ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama katika mashambulio yao dhidi ya raia na kubainisha kuwa Washington imezipatia kinga tawala mbili hizo.

  • Rouhani: Marekani haiwezi kuiamulia dunia nzima

    Rouhani: Marekani haiwezi kuiamulia dunia nzima

    May 21, 2018 23:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haiwezi kuchukua mamuzi kuhusu Iran na nchi zingine huru na zenye kujitegemea duniani.

  • Matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    May 21, 2018 23:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amekariri madai yaliyo dhidi ya Iran na kwa mara nyingine tena kuituhumu Tehran kuwa inasababisha ukosefu wa amani katika eneo.

  • Amoli Larijani: Marekani haiwezi kuficha jinai za utawala wa Kizayuni

    Amoli Larijani: Marekani haiwezi kuficha jinai za utawala wa Kizayuni

    May 21, 2018 23:12

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa Marekani inahusika na jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni na kwamba maafa hayo yametendwa kufuatia baraka za Marekani kwa utawala huo.

  • Marekani yaamua kurudi nyuma katika vita vya biashara ilivyovianzisha dhidi ya China

    Marekani yaamua kurudi nyuma katika vita vya biashara ilivyovianzisha dhidi ya China

    May 21, 2018 09:42

    Waziri wa Fedha wa Marekani ameelezea kusimama vita vya kibiashara kati ya nchi yake na China sambamba na kukubali kupunguza mizozo ya kibiashara baina nchi hizo.

  • Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    May 21, 2018 03:41

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba kamwe Marekani haitoweza kulipigisha magoti taifa imara la Iran.

  • Rouhani: Njama za Marekani za kuitenga Iran na dunia zimefeli

    Rouhani: Njama za Marekani za kuitenga Iran na dunia zimefeli

    May 20, 2018 02:56

    Rais Hassan Rouhani amesema njama za Marekani za kuitenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na dunia zimegonga mwamba licha ya jitihada kubwa za Washington za kufanikisha azma hiyo.

  • Ndege za Marekani zashuhudiwa zikiwatumia silaha mabaki ya Daesh (ISIS) nchini Syria

    Ndege za Marekani zashuhudiwa zikiwatumia silaha mabaki ya Daesh (ISIS) nchini Syria

    May 19, 2018 09:46

    Kwa mara nyingine wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamepewa msaada wa silaha na askari wa Marekani na kuwawezesha kuingia eneo la wazi la kusini magharibi mwa jimbo la Deir ez-Zor nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS