Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Jan 05, 2018 11:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.

  • Sisitizo la Lebanon kwa nchi za Kiarabu la kuishinikiza kidiplomasia Marekani

    Sisitizo la Lebanon kwa nchi za Kiarabu la kuishinikiza kidiplomasia Marekani

    Jan 05, 2018 04:44

    Kufuatia uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekkani dhidi ya Beitul-Muqaddas, Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza juu ya ulazima wa kufungwa balozi za nchi za Kiarabu nchini Marekani.

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Jan 03, 2018 23:05

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekosoa vikali uchochezi na uungaji mkono wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa waandamanaji wanaofanya fujo na ghasia nchini.

  • Gaidi wa Boko Haram ajiripua na kuua watu 14 msikitini nchini Nigeria

    Gaidi wa Boko Haram ajiripua na kuua watu 14 msikitini nchini Nigeria

    Jan 03, 2018 12:03

    Mtu aliyejifunga bomu mwilini amejiripua na kuua watu wasiopungua 14 ndani ya msikiti mmoja katika mji wa Gamboru ulioko kwenye jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria leo.

  • Jibu la Wapakistan kwa matamshi mapya ya Trump

    Jibu la Wapakistan kwa matamshi mapya ya Trump

    Jan 03, 2018 09:46

    Matamshi mapya ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu makosa ya kistratijia ya nchi hiyo katika kuipa Pakistan misaada ya kifedha kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa Wapakistan.

  • Ripoti: Trump amesema uwongo mara elfu 2 ndani ya siku 347

    Ripoti: Trump amesema uwongo mara elfu 2 ndani ya siku 347

    Jan 02, 2018 11:25

    Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la The Washington Post imesema Rais Donald Trump wa Marekani amesema urongo karibu mara elfu mbili ndani ya siku 347 alizohudumu ndani ya Ikulu ya White House.

  • Viongozi wa kisiasa Pakistan wakerwa na Trump, waitaka serikali kuisusa US

    Viongozi wa kisiasa Pakistan wakerwa na Trump, waitaka serikali kuisusa US

    Jan 02, 2018 04:21

    Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati nchini Pakistan wameonyesha kukerwa mno na matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu nchi yao.

  • Iran: Kabla ya Trump kuingilia Iran, aokoe kwanza mamilioni ya Wamarekani wanaokufa njaa

    Iran: Kabla ya Trump kuingilia Iran, aokoe kwanza mamilioni ya Wamarekani wanaokufa njaa

    Jan 02, 2018 04:15

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uingereza amejibu uingiliaji wa Rais Donald Trump wa Marekani katika masuala ya ndani ya Iran na kusema kuwa, licha ya Marekni kujulikana kuwa na uwezo mkubwa wa kiuchumi duniani, lakini kwa mwaka idadi kubwa ya raia wake huwa wanakufa njaa kutokana na tofauti ya kitabaka.

  • Shamkhani: Marekani, Uingereza na Saudia zapokezana mashambulizi ya Intaneti dhidi ya Iran

    Shamkhani: Marekani, Uingereza na Saudia zapokezana mashambulizi ya Intaneti dhidi ya Iran

    Jan 02, 2018 01:14

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, Marekani, Uingereza na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kupokezana katika Intaneti kuishambulia kila upande Jamhuri ya Kiislamu na taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS