-
Trump asema Marekani ilitumia kiujinga $Trilioni 7 Mashariki ya Kati
Dec 23, 2017 11:47Baada ya kupata pigo katika Umoja wa Mataifa, Rais Donald Trump wa Marekani sasa amesema Marekani imetumia kijinga dola trillioni saba Mashariki ya Kati
-
Iran yaijibu Bahrain inayodai Quds si suala muhimu
Dec 22, 2017 00:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu hatua ya hivi karibuni ya waziri wa mambo ya nje wa Bahrain aliyeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa eti kadhia ya Quds na Palestina si muhimu bali ni suala la pembeni tu.
-
Msimamo wa Russia kuhusu stratijia mpya ya usalama wa taifa ya Marekani
Dec 20, 2017 23:07Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetoa taarifa ikiitaja stratijia mpya ya usalama wa taifa ya Marekani kuwa ni ya kihasama na kusisitiza kuwa, stratijia hiyo imetayarishwa kwa ajili ya kukabiliana na nchi mbalimbali na ina lengo la kulinda udhibiti wa Marekani duniani badala ya kutoa pendekezo la kuanzishwa uhusiano wa kushirikiana kati ya nchi tofauti.
-
Marekani yatengwa katika kikao cha Baraza la Usalama kilichojadili mapatano ya nyuklia ya Iran
Dec 20, 2017 04:27Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameashiria kufanyika Kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu azimio nambari 2231 la mapatano ya nyuklia ya Iran na kusema washiriki wa kikao hicho walitangaza kuunga mkono mapatano hayo na kwamba kikao hicho kilithibitisha namna Marekani ilivyotengwa.
-
Iran yalaani stratijia ya usalama ya Marekani
Dec 20, 2017 04:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Stratijia mpya ya usalama wa taifa Marekani inajumuisha jitihada zilizofeli za kujaribu kuonyesha kuwa eti Iran ni tishio na hivyo inapaswa kulaaniwa."
-
Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani
Dec 19, 2017 23:08Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Uswisi mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia madai ya hivi karibuni ya Marekani kwamba makombora yanayofyatuliwa na vikosi vya Yemen dhidi ya Saudia yametoka Iran.
-
Iran yaalani hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya veto azimio kuhusu Quds
Dec 19, 2017 04:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana usiku alilaani hatua ya Marekani ya kuupigia kura ya veto mswada uliopendekezwa na Misri kuhusu Quds na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume na amani na usalama wa kimataifa kwa lengo la kukandamiza haki za wananchi wa Palestina.
-
Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds
Dec 18, 2017 23:20Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu imesisitiza kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel ni ukiukaji wa wazi wa haki za wananchi wa Palestina.
-
Njama mpya ya Marekani ya kuiangusha serikali ya Syria katika kipindi hiki cha baada ya kuangamizwa ISIS (Daesh)
Dec 18, 2017 04:30Je, Marekani itaachana na Syria? Katika kipindi hiki cha baada ya kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS, hivi sasa Marekani inatekeleza njama chafu ya kuiangusha serikali halali ya Syria.
-
Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria
Dec 17, 2017 11:04Russia imeitahadharisha Marekani kuhusu taathira za kuwapatia silaha mpya magaidi waliopo Syria.