Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani kuipa Israel dola milioni 705 kujiimarisha kwa makombora

    Marekani kuipa Israel dola milioni 705 kujiimarisha kwa makombora

    Nov 11, 2017 03:57

    Katika hali ambayo Marekani imezusha kelele nyingi kuhusu miradi ya ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mabaraza ya Congress na Senate ya nchi hiyo yamefikia mwafaka wa kuupatia utawala wa Kizayuni wa Israel msaada wa dola milioni 705 kwa ajili ya kuendeleza miradi yake ya makombora.

  • Korea Kaskazini: Safari ya Trump mashariki mwa Asia haina faida yoyote

    Korea Kaskazini: Safari ya Trump mashariki mwa Asia haina faida yoyote

    Nov 09, 2017 11:22

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa radiamali kufuatia vitisho vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani katika safari yake ya kutembelea eneo la mashariki mwa Asia.

  • Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Nov 09, 2017 04:23

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umesema mashambulizi ya anga ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yameua raia wasiopungua 10.

  • EU yapinga takwa la Marekani la kutaka mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    EU yapinga takwa la Marekani la kutaka mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Nov 09, 2017 00:19

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesisitiza kuwa haiwezekani kufanya mazungumzo mpya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini

    Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 08, 2017 04:20

    Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.

  • Wamarekani waandamana wakitaka kubanwa umiliki wa silaha baada ya mauaji ya Texas

    Wamarekani waandamana wakitaka kubanwa umiliki wa silaha baada ya mauaji ya Texas

    Nov 07, 2017 04:48

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa Washington kushinikiza kuangaliwa upya suala la umiliki na ruhusa ya kubeba silaha nchini humo, kufuatia mauaji ya makumi ya watu katika shambulizi la ufyatuaji risasi katika jimbo la Texas.

  • Marekani yakosolewa kwa kuzidi kujikita kijeshi barani Afrika

    Marekani yakosolewa kwa kuzidi kujikita kijeshi barani Afrika

    Nov 05, 2017 04:37

    Kundi linalopinga vita liitwalo "Kituo cha Uchukuaji Hatua Kimataifa" limetangaza kuwa kuongezeka harakati na uwepo wa kijeshi wa Marekani katika bara la Afrika hakuna uhusiano wowote na mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA

    Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA

    Nov 04, 2017 23:40

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inataka kuyasambaratisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa gharama za Iran.

  • Shamkhani: Taifa la Iran limeweka rekodi ya dunia ya kuidhalilisha sana Marekani

    Shamkhani: Taifa la Iran limeweka rekodi ya dunia ya kuidhalilisha sana Marekani

    Nov 04, 2017 12:38

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: Marekani ina faili kubwa zaidi la kushindwa na kugonga mwamba katika kukabiliana na irada ya taifa la Iran kulinganisha na kushindwa kwake katika kukabiliana na mataifa mengine na kwamba taifa la Iran limeweka rekodi ya kujivunia katika suala hilo.

  • UN: Kwa wastani, wakimbizi 16 wamefariki kila siku katika mwaka huu wa 2017

    UN: Kwa wastani, wakimbizi 16 wamefariki kila siku katika mwaka huu wa 2017

    Nov 04, 2017 12:20

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) lililo chini ya Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa karibu wakimbizi 5,000, ambao ni wastani wa wakimbizi 16 kwa siku wamefariki dunia katika kipindi cha mwaka huu wa 2017 kutokana na wimbi la watu wanaokimbilia Ulaya kutoka maeneo yenye migogoro pamoja na ukandamizaji unaofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS