Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja

    Rais Rouhani alikataa ombi la Trump la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja

    Nov 03, 2017 23:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa katakata ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja, limeandika gazeti la Washington Post.

  • Myanmar yakosoa mpango wa Seneti ya US kuiwekea vikwazo vya kijeshi

    Myanmar yakosoa mpango wa Seneti ya US kuiwekea vikwazo vya kijeshi

    Nov 03, 2017 23:10

    Serikali ya Myanmar imeonya kuwa, kutakuweko na taathira hasi iwapo Bunge la Seneti la Marekani litapasisha muswada wa kuiwekea nchi hiyo vikwazo vya kijeshi.

  • Mmarekani aliyemtukana Rais Mugabe wa Zimbabwe aswekwa jela

    Mmarekani aliyemtukana Rais Mugabe wa Zimbabwe aswekwa jela

    Nov 03, 2017 10:54

    Polisi nchini Zimbabwe imemtia mbaroni raia wa Marekani kwa tuhuma za kumtusi Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo.

  • Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Nov 03, 2017 10:51

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema Wamarekani ni wenye kuvunja ahadi na kuongeza kuwa, Marekani ni kinara wa uhaini na jinai zote duniani.

  • Zarif: Marekani inajaribu kupotosha ukweli kuhusu mashambulizi ya Septemba 11

    Zarif: Marekani inajaribu kupotosha ukweli kuhusu mashambulizi ya Septemba 11

    Nov 03, 2017 10:47

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini kupotosha ukweli wa mambo kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001.

  • Mauaji ya wanamapambano wa Palestina kwa kosa eti la kuwasaidia raia wa Gaza

    Mauaji ya wanamapambano wa Palestina kwa kosa eti la kuwasaidia raia wa Gaza

    Nov 01, 2017 03:18

    Wanamapambano 8 wa Palestina wameuawa shahidi katika shambulizi lililofanywa na ndege za utawala haramu wa Israel dhidi ya mahandaki na njia za chini ya ardhi za wapiganaji wa Palestina huko mashariki mwa Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Wamarekani zaidi ya milioni moja waunga mkono mpango wa kuuzuliwa Trump

    Wamarekani zaidi ya milioni moja waunga mkono mpango wa kuuzuliwa Trump

    Nov 01, 2017 01:01

    Saini zaidi ya milioni moja zimekusanywa ndani ya siku kumi nchini Marekani katika kampeni ya kutaka kuondolewa madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • 'Marekani inakiri kuwa haiwezi kuishambulia kijeshi Iran'

    'Marekani inakiri kuwa haiwezi kuishambulia kijeshi Iran'

    Oct 31, 2017 10:02

    Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran amesema: "Hali ya sasa ya nguvu za Iran na busara ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, iko kwa namna ambayo, Marekani pamoja na vibaraka wake katika eneo wanakiri kuwa haiwezekani kuishambulia Iran kijeshi."

  • Njama za Marekani za kukandamiza harakati ya ususiaji utawala wa Israel

    Njama za Marekani za kukandamiza harakati ya ususiaji utawala wa Israel

    Oct 30, 2017 10:03

    Kufuatia kuimarika harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji dhidi ya Israel maarufu kwa jina la BDS nchini Marekani, jimbo la Wisconsin nchini humo limejiunga na majimbo ambayo yamepiga marufuku utiwaji saini mikataba na mashirika ambayo yanaunga mkono harakati hiyo ya kususia Israel.

  • Mgogoro wa Syria, natija ya ushirikiano wa Marekani na baadhi ya nchi za eneo

    Mgogoro wa Syria, natija ya ushirikiano wa Marekani na baadhi ya nchi za eneo

    Oct 30, 2017 00:28

    Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Qatar amefichua kwamba, nchi zinazounga mkono ugaidi na makundi yanayobeba silaha nchini Syria, zimekuwa zikifanya hivyo kupitia Saudia na Uturuki na pia kupitia ushirikiano wa Marekani na pande nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS