Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Ripoti yafichua: Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni moja kuwanunulia silaha magaidi nchini Syria

    Sep 13, 2017 23:25

    Kituo kimoja cha utafiti katika eneo la Balkan kimefichua kwamba Marekani imechukua hatua kadhaa kwa ajili ya kuwazatiti kwa silaha magaidi nchini Syria.

  • Seneti na Kongresi ya Marekani uso kwa uso na Trump kuhusu ubaguzi wa rangi

    Seneti na Kongresi ya Marekani uso kwa uso na Trump kuhusu ubaguzi wa rangi

    Sep 13, 2017 04:01

    Katika hatua ya kuonesha kutorishwa kwake na Rais Donald Trump wa Marekani Kongresi ya nchi hiyo imemtaka kiongozi huyo alaani vikali na waziwazi makundi ya wabaguzi wa rangi na wazungu wanaojitambua kuwa bora na juu ya zaidi ya wanadamu wengine.

  • Seneti ya Marekani yamtaka Trump alaani waziwazi makundi ya ubaguzi wa rangi

    Seneti ya Marekani yamtaka Trump alaani waziwazi makundi ya ubaguzi wa rangi

    Sep 12, 2017 10:27

    Baraza la Seneti la Marekani limepasisha azimio likilaani harakati za makundi ya wazungu wanaojitambua kuwa bora zaidi ya wanadamu wengine.

  • Iran: Marekani inafuatilia maslahi yake tu katika Mashariki ya Kati

    Iran: Marekani inafuatilia maslahi yake tu katika Mashariki ya Kati

    Sep 11, 2017 11:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baadhi ya nchi za eneo na Marekani zinatumia baadhi ya misamiati kwa ajili ya kufanikisha malengo na maslahi yao.

  • Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Sep 11, 2017 03:50

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itaendeleza njama zake ili kuongeza vikwazo dhidi yake katika Umoja wa Mataifa, basi Pyongyang itaizidishia Washington machungu na taabu.

  • Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Sep 11, 2017 03:48

    Faisal Mekdad, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayochafua usalama wa nchi hiyo yanaungwa mkono kikamilifu na kusaidiwa na Marekani na kwamba Washington ni adui mkubwa wa Syria.

  • New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    Sep 10, 2017 10:04

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limesema kuwa, rais wa nchi hiyo, Donald Trump ameshindwa kutatua mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia.

  • Kuendelea jinai za utawala wa Aal Khalifa katika kivuli cha himaya ya pande zote ya Marekani

    Kuendelea jinai za utawala wa Aal Khalifa katika kivuli cha himaya ya pande zote ya Marekani

    Sep 10, 2017 02:56

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imetangaza kuwa, nchi hiyo imeafiki mpango wa kuuzia silaha utawala wa kifalme wa Bahrain wa Aal Khalifa wenye thamani ya takribani dola bilioni nne na ambao unajumuisha ndege za kivita aina ya F-16, makombora na boti za doria.

  • Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Sep 10, 2017 02:45

    Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.

  • Mazungumzo ya Trump na Waarabu kwa kutumia kionjo cha

    Mazungumzo ya Trump na Waarabu kwa kutumia kionjo cha "uenezaji hofu kuhusu Iran"

    Sep 09, 2017 12:04

    Safari ya Mfalme wa Kuwait Sheikh Sabah Al-Ahmad Al-Jabir As-Sabah mjini Washington sambamba na juhudi za Rais Donald Trump wa Marekani za kutatua mgogoro baina ya Waarabu vimetumiwa kuwa kisingizio cha kumpa fursa tena Trump ya kutumia kionjo cha 'uenezaji hofu kuhusu Iran' ili kufanikisha malengo yake katika Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS