-
UN yaafiki kupunguza bajeti ya wanajeshi walinda amani kwa mashinikizo ya USA
Jul 01, 2017 03:02Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limekubali kupunguza kwa kiasi kikubwa bajeti ya operesheni za kulinda amani kufuatia mashinikizo ya Marekani.
-
Iran: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayatafanyiwa mabadiliko yoyote
Jun 30, 2017 23:34Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA hayatofanyiwa marekebisho yoyote yale.
-
Chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Syria
Jun 30, 2017 09:03Sambamba na kuanza mchezo mpya wa White House dhidi ya Syria, vyombo vya habari vya nchi hiyo vimetangaza habari ya ndege za kivita za Marekani kushambulia mji wa Deir ez-Zor mashariki mwa nchi hiyo ambapo zimeua makumi ya wanawake na watoto katika eneo hilo.
-
Marufuku ya Trump dhidi ya Waislamu yaanza kutekelezwa Marekani
Jun 30, 2017 00:10Amri ya Rais Donald Trump wa Marekani inayowapiga marufuku raia wa nchi sita zenye idadi kubwa ya Waislamu kuingia katika ardhi ya Marekani imeanza kutekelezwa usiku wa kuamkia leo licha ya upinzani mkubwa dhidi ya uamuzi huo.
-
Pyongyang: Vitisho vya Marekani haviwezi kutuzuia kujiimarisha kwa nyuklia
Jun 29, 2017 09:49Balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa ameiambia Marekani na washirika wake kwamba, Pyongyang itaendelea kujiimarisha kwa silaha za nyuklia na haitojali vikwazo, mashinikizo na vitisho vya Washington na washirika wake vya kuishambulia kijeshi nchi hiyo.
-
Iran: Uvamizi wowote wa Marekani nchini Syria utahatarisha usalama wa eneo hili zima
Jun 28, 2017 10:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, uvamizi wowote ule wa Marekani nchini Syria hautakuwa na matunda mengine isipokuwa kuzidi kuhatarisha tu usalama wa eneo la Asia Magharibi na kuwasaidia magaidi ambao wamekaribia kuangamizwa kikamilifu nchini Syria.
-
Iran yalaani uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani dhidi ya Waislamu
Jun 27, 2017 22:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Marekani dhidi ya Waislamu na kusema kuwa, kutokana na mitazamo yake finyu ya kibiashara, Washington imefumbia jicho wasababishaji halisi wa ugaidi nchini Marekani na kutoa ujumbe usiofaa.
-
Propaganda za kitoto za Marekani dhidi ya Syria
Jun 27, 2017 21:44Mapema jana asubuhi, Ikulu ya Marekani (White House) ilitoa tamko lisilo na mashiko ikidai kuwa serikali ya Syria ina nia ya kufanya shambulio la silaha za kemikali.
-
Iran: Njama mpya za Marekani dhidi ya Syria ni kwa manufaa ya magaidi
Jun 27, 2017 11:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kitendo cha Marekani cha kuzusha vurugu mpya nchini Syria kwa kutegemea madai ya uongo, si kwa faida ya yeyote isipokuwa magaidi wa ISIS.
-
Kwa mara nyingine ndege za Marekani zaua raia 42 Deir ez-Zor, Syria
Jun 27, 2017 10:47Kwa mara nyingine tena ndege za muungano vamizi unaodai kupambana na kundi la Daesh chini ya uongozi wa Marekani, zimefanya jinai nyingine kubwa ya kuua raia 42 katika mkoa wa Deir ez-Zor nchini Syria.