-
Watu 72 wauawa katika matukio ya ufyatuaji risasi nchini Marekani
May 02, 2017 12:05Kituo cha takwimu za vitendo vya ukatili wa utumiaji silaha nchini Marekani kimetangaza kuwa watu 72 wameuliwa katika matukio ya ufyatuaji risasi yaliyotokea kwenye maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Al-Qaidah yakiri kushirikiana na vibaraka wanaoungwa mkono na Marekani huko Yemen
May 02, 2017 03:14Kiongozi wa tawi la kundi la kigaidi la al-Qaidah nchini Yemen amesema kuwa, wanachama wa genge hilo la ukufurishaji wanashirikiana bega kwa bega na wavamizi wa Saudia chini ya uungaji mkono wa Marekani.
-
Majeshi ya Iran, Syria kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi
May 01, 2017 23:35Wakuu wa majeshi ya Iran na Syria wamesisitiza kuhusu kuimarisha ushirikiano wa majeshi ya nchi mbili katika vita dhidi ya ugaidi huku wakilaani vikali hujuma za Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.
-
Korea Kaskazini: Ikiwa meli za US zitatukaribia, tutazigeuza kuwa vyuma chakavu
May 01, 2017 09:44Kwa mara nyingine serikali ya Korea Kaskazini imeitahadharisha Marekani kwamba, ikiwa meli za kivita za nchi hiyo zitaendelea kuwepo katika Peninsula ya Korea, basi itaziangamiza silaha za nyuklia za Washington na kuzigeuka kuwa vyuma chakavu.
-
Marekani: Mashambulizi yetu yameua mamia ya raia Iraq na Syria
May 01, 2017 03:02Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imetoa taarifa na kukiri kwamba mashambulizi ya muungano unaodaiwa kupambana na magaidi wa Daesh hadi sasa yameshaua raia 352 katika nchi za Iraq na Syria tangu mwaka 2014.
-
Onyo kali la China kwa Marekani kuhusu kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini
Apr 30, 2017 02:59Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi ameionya Marekani kutochukua hatua yoyote ya ya kichokozi dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Iran: Marekani, Israel na Uingereza haziutakii kheri umma wa Kiislamu
Apr 29, 2017 22:03Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwepo kijeshi Marekani na nchi za Magharibi katika eneo la Mashariki ya Kati kuna madhara makubwa kwa mataifa ya eneo hili kwani licha ya kuja na kaulimbiu ya kuimarisha usalama na amani, lakini madola hayo ya kibeberu ndiyo sababu kuu ya kutoweka amani na usalama katika eneo hili.
-
Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia kuhusu Syria
Apr 28, 2017 22:00Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Alkhamisi jioni katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani, kimejikita kwenye hali ya kibinadamu katika nchi ya Syria iliyoharibiwa vibaya na vita.
-
Obama kuhutubia kuhusu mpango wake wa bima ya afya kwa ujira wa dola laki nne
Apr 26, 2017 03:21Aliyekuwa rais wa Marekani Barack Obama atapokea donge nono la fedha kwa hotuba yake ya kwanza atakayotoa kwa malipo katika mkutano wa huduma ya afya utakaofanyika mwezi Septemba mwaka huu.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu malengo ya uadui wa Marekani dhidi ya Iran na Waislamu
Apr 26, 2017 01:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, jana Jumanne alionana na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu na mabalozi wa nchi za Kiislamu waliopo hapa nchini Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kubaathiwa na kupewa Utume Bwana wetu Muhammad SAW. Alisisitiza kwamba, Marekani na Wazayuni wanaifanyia uadui mkubwa Jamhuri ya Kiislamu kwa sababu Uislamu nchini Iran unaonekana kwa uwazi zaidi na ni kikwazo cha tamaa zao za kibeberu.