-
Kiongozi Muadhamu: Uislamu ndio sababu ya uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran
Apr 25, 2017 11:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zinaipinga Iran ya Kiislamu kwa kuwa Uislamu umedhihiri nchini hapa na ndio unaozuia tamaa zao.
-
Damascus yajibu propaganda chafu za Washington kuhusu silaha za kemikali
Apr 25, 2017 00:19Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Syria amekadhibisha propaganda chafu zinazoenezwa na vyombo vya habari vya Kimarekani na kusisitiza tena kwamba Syria haina aina yoyote ya silaha za kemikali.
-
Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja
Apr 24, 2017 03:44Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni pande mbili za sarafu moja ambazo kwa pamoja zinaunga mkono kwa hali na mali juhudi za kuibomoa na kuisambaratisha Yemen kupitia uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Saudi Arabia.
-
Korea Kaskazini imewatia nguvuni raia 3 wa Marekani
Apr 23, 2017 22:56Katika hali ambayo taharuki ingali imetanda katika Peninsula ya Korea, serikali ya Korea Kaskazini imemtia mbaroni raia wa Marekani, na kupelekea idadi ya Wamarekani wanaozuiliwa na serikali ya Pyongyang hadi sasa kufikia watatu.
-
Utafiti: 42% ya Wamarekani hawana imani na serikali ya Trump
Apr 23, 2017 09:37Utafiti mpya umeonyesha kuwa asilimia 42 ya wananchi wa Marekani wamepoteza imani na uongozi wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika kipindi cha siku 100 za kwanza ofisini.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani atembelea kituo cha kijeshi cha US, Djibouti
Apr 23, 2017 09:19Waziri wa Ulinzi wa Marekani yuko nchini Djibouti katika kile kinachoonekana ni juhudi za Washington za kuimarisha na kupanua wigo wake wa kijeshi katika nchi za Afrika.
-
Iran: Katika matukio ya sasa Marekani iko katika nafasi dhaifu
Apr 22, 2017 11:51Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Shamkhani amesema kuwa matukio ya sasa yameifanya Marekani kuwa katika nafasi dhaifu kwa kuwa hii leo nchi za Ulaya hazina tena mapenzi ya kushirikiana na Washington.
-
Russia yailaumu Marekani kwa kukwamisha uchunguzi, Khan Shaykhun
Apr 22, 2017 02:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kusikitishwa na upinzani wa Marekani dhidi ya pendekezo lililotolewa na Moscow na Tehran kwa ajili ya kufanyika uchunguzi wa shambulizi la silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun nchini Syria.
-
Utumiaji wa mabomu yanayoongozwa kutoka mbali dhidi ya watu wa Yemen, matunda ya safari ya Mattis huko Saudia
Apr 21, 2017 23:12Baada ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis mjini Riyadh, imetangazwa kuwa Washington inachunguza suala la kuiuzia Saudi Arabia mabomu yanayoongozwa kutokea mbali katika mwaka wa tatu wa vita vya nchi hiyo dhidi ya Yemen.
-
Hamid Karzai: Marekani ndio iliyoanzisha genge la kigaidi la Daesh
Apr 21, 2017 12:26Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema kuwa, Marekani ndiyo ilianzisha kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) kwa ajili ya kufikia maslahi yake haramu katika eneo la Mashariki ya Kati.