Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Radiamali ya Rais wa Syria juu ya uvamizi wa Marekani na Uturuki dhidi ya ardhi ya nchi yake

    Radiamali ya Rais wa Syria juu ya uvamizi wa Marekani na Uturuki dhidi ya ardhi ya nchi yake

    Mar 12, 2017 03:33

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, majeshi ya kigeni hususan ya Marekani na Uturuki, yaliyoingia ndani ya ardhi ya nchi hiyo bila idhini ya serikali ya Damascus, yanahesabika kuwa wavamizi.

  • Wanasheria wakuu wa majimbo ya Marekani waendelea kupinga agizo jipya la Trump dhidi ya Waislamu

    Wanasheria wakuu wa majimbo ya Marekani waendelea kupinga agizo jipya la Trump dhidi ya Waislamu

    Mar 11, 2017 23:29

    Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Maryland amejiunga na wenzake wa majimbo ya Washington, Hawaii, New York, Oregan na Massachusetts kupinga agizo lililotolewa na Rais wa Marekani dhidi ya wahajiri wa Kiislamu.

  • Chuki zaongezeka Marekani baada ya kuchaguliwa Trump

    Chuki zaongezeka Marekani baada ya kuchaguliwa Trump

    Mar 10, 2017 04:09

    Wamarekani waliowengi wanaamini kuwa kiwango cha chuki kimeongezeka nchini humo baada ya kuchaguliwa Donald Trump kama rais.

  • Majimbo kadhaa Marekani yachukua hatua kuzuia marufuku mpya ya Trump dhidi ya Waislamu

    Majimbo kadhaa Marekani yachukua hatua kuzuia marufuku mpya ya Trump dhidi ya Waislamu

    Mar 10, 2017 00:42

    Amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani ya kupiga marufuku raia wa nchi sita za Waislamu kuingia nchini humo imeendelea kupingwa kisheria na majimbo ya nchi hiyo baada ya Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Washington kuungana na jimbo la Hawaii kuchukua hatua ya kuzuia utekelezaji wake.

  • Marekani yaitangazia dunia vita vya kibiashara

    Marekani yaitangazia dunia vita vya kibiashara

    Mar 10, 2017 00:27

    Marekani imetoa tishio la vita vya kibiashara dhidi ya dunia. Waziri wa Biashara wa Marekani Wilbur Ross amesema Marekani imekuwa katika vita vya kibiashara kwa miongo kadhaa lakini sasa nchi hiyo iko tayari kutumia uwezo wake wote kujibu mapigo.

  • Hawaii yaenda kotini kupinga sheria ya kibaguzi ya Trump

    Hawaii yaenda kotini kupinga sheria ya kibaguzi ya Trump

    Mar 09, 2017 12:58

    Jimbo la Hawaii nchini Marekani limepeleka faili la kesi mahakamani kupinga sheria mpya ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo iliyo dhidi ya Waislamu.

  • Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Mar 07, 2017 23:51

    Rais wa Somalia amekosoa amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia kutoka nchi kadhaa za Kiislamu kuingia Marekani.

  • Haaretz: Balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel amechangia kunyakuliwa ardhi za Wapalestina

    Haaretz: Balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel amechangia kunyakuliwa ardhi za Wapalestina

    Mar 07, 2017 12:04

    Gazeti la utawala wa Kizayuni wa Israel la Haaretz limefichua kuwa balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel, David Friedman kwa miaka mingi amekuwa akitoa kiwango kikubwa cha fedha kwa ajili ya kunyakua ardhi za Waislamu katika eneo al Quds (Jerusalem) na kuwapa makazi huko Wazayuni.

  • Nigeria yawataka raia wake kutosafiri nchini Marekani

    Nigeria yawataka raia wake kutosafiri nchini Marekani

    Mar 07, 2017 03:51

    Serikali ya Nigeria imewataka raia wake kujiepusha kusafiri Marekani katika kipindi hiki hadi pale Washington itakapoweka wazi na kutoa ufafanuzi kuhusu sera zake za kigeni.

  • Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Mar 07, 2017 03:47

    Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS