Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sheria mpya ya Trump dhidi ya Waislamu yalaaniwa kote duniani

    Sheria mpya ya Trump dhidi ya Waislamu yalaaniwa kote duniani

    Mar 07, 2017 03:44

    Sheria mpya ya kibaguzi ya Donald Trump, Rais wa Marekani, inakabiliwa na wimbi la lalama na ukosoaji kutoka kila upande, ndani na nje ya nchi.

  • Wafuasi na wapinzani wa Trump watwangana makonde nchini Marekani

    Wafuasi na wapinzani wa Trump watwangana makonde nchini Marekani

    Mar 05, 2017 04:09

    Habari kutoka nchini Marekani zinasema kuwa kumezuka mapigano baina ya wafuasi na wapinzani wa Donald Trump katika mji wa Berkeley wa jimbo la California, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wamarekani wakiri kuua mamia ya raia Syria, Iraq

    Wamarekani wakiri kuua mamia ya raia Syria, Iraq

    Mar 05, 2017 04:05

    Jeshi la Marekani jana lilikiri kuwa limeua raia wa Iraq na Syria katika kampeni inayodaiwa ni ya kupambana na kundi la Daesh kwenye nchi hizo mbili za Kiarabu na Kiislamu.

  • Mwislamu wa kwanza katika historia ya Marekani kugombea ugavana

    Mwislamu wa kwanza katika historia ya Marekani kugombea ugavana

    Mar 04, 2017 12:39

    Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Marekani, Mwislamu anagombea ugavana wa jimbo la Michigan.

  • Bunge la Ulaya lataka kupigwa marufuku safari za Wamarekani wasio na viza

    Bunge la Ulaya lataka kupigwa marufuku safari za Wamarekani wasio na viza

    Mar 03, 2017 23:51

    Kwa kuzingatia kuendelea sheria ya kulazimishwa raia wa nchi tano za Umoja wa Ulaya kuwa na viza kabla ya kuruhusiwa kuingia Marekani, wabunge wa umoja huo siku ya Alhamisi walitaka kuaza kutekelezwa marufuku ya kuzuiwa Wamarekani wasio na viza kuingia barani humo.

  • Matamshi ya mwakilishi wa Marekani kuhusu kujitoa katika Baraza la Haki za Binadamu ili kuilinda Israel

    Matamshi ya mwakilishi wa Marekani kuhusu kujitoa katika Baraza la Haki za Binadamu ili kuilinda Israel

    Mar 03, 2017 00:50

    Erin Barclay, mwakilishi wa Marekani katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesema kuwa, Washington ina nia ya kujitoa kwenye baraza hilo kutokana na kuwa linazungumzia sana suala la Israel.

  • Iraq: Tumeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Iraq: Tumeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Mar 02, 2017 04:44

    Serikali ya Iraq imetangaza kuwa, imeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh na kwamba, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vinaendelea vizuri na operesheni zake dhidi ya wanamgambo hao wa kigaidi.

  • Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia katika kipindi cha utawala wa Trump

    Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia katika kipindi cha utawala wa Trump

    Mar 01, 2017 03:51

    Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hivi sasa Marekani bado inaendeleza njama zenye lengo la kushadidisha mzingiro wa kiuchumi na vikwazo dhidi ya nchi yake.

  • Jumuiya za Kiislamu Marekani zaonya kuhusu kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Jumuiya za Kiislamu Marekani zaonya kuhusu kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Feb 26, 2017 12:14

    Baraza la Mahusiano ya Uislamu na Marekani (CAIR) limetahadharisha kuhusiana na kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

  • Msikiti mwingine wachomwa moto Marekani, matamshi ya chuki ya Trump yanaendela kufanya kazi

    Msikiti mwingine wachomwa moto Marekani, matamshi ya chuki ya Trump yanaendela kufanya kazi

    Feb 25, 2017 03:14

    Kundi la waokoaji katika mji wa Hillsboro kwenye jimbo la Florida nchini Marekani wametangaza kuwa Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha New Tampa cha mji huo kimechomeka kwa moto na kwamba ushahidi unaonesha uhalifu huo umefanyika kwa makusudi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS