Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Dec 24, 2016 03:59

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.

  • Jeshi la Marekani lahitimisha rasmi operesheni zake Sirte, Libya

    Jeshi la Marekani lahitimisha rasmi operesheni zake Sirte, Libya

    Dec 21, 2016 11:15

    Jeshi la Marekani limetamatisha rasmi operesheni zake katika mji wa pwani wa Sirte nchini Libya, ambao hivi karibuni ulikombolewa kikamilifu toka mikononi mwa magaidi wa Daesh.

  • Yahya Jammeh: Siondoki madarakani; hakuna wa kuniondoa isipokuwa Mwenyezi Mungu

    Yahya Jammeh: Siondoki madarakani; hakuna wa kuniondoa isipokuwa Mwenyezi Mungu

    Dec 21, 2016 03:38

    Rais Yahya Jamme ambaye alishindwa katika uchaguzi wa mwanzoni mwa mwezi huu amesisitiza kwamba, hataachia ngazi na kuondoka madarakani.

  • Ja'fari akosoa njama zinazofanywa na nchi za Magharibi nchini Syria

    Ja'fari akosoa njama zinazofanywa na nchi za Magharibi nchini Syria

    Dec 21, 2016 00:22

    Mwalikishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa njama zinazofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa kwa ajili ya kuingilia mambo ya ndani ya Syria.

  • Saudia: Marekani haijapunguza mauzo ya silaha zake kwetu

    Saudia: Marekani haijapunguza mauzo ya silaha zake kwetu

    Dec 19, 2016 04:04

    Adel al-Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amekanusha madai kuwa Marekani imepunguza kiwango cha uuzaji silaha kwa serikali ya Riyadh kutokana na hujuma za utawala huo wa kifalme nchini Yemen.

  • Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu

    Dec 17, 2016 13:12

    Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa mafundisho ya Bwana Mtume (saw) kwa ajili ya kukabiliana na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tawala mbazo ni maadui wa Umma wa Kiislamu.

  • Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Dec 17, 2016 03:43

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.

  • Vifo vinavyotokana na utumiaji mihadarati na pombe Marekani vimeongezeka mara tatu

    Vifo vinavyotokana na utumiaji mihadarati na pombe Marekani vimeongezeka mara tatu

    Dec 17, 2016 00:53

    Watafiti wa elimu ya tiba nchini Marekani wametangaza kuwa uchunguzi waliofanya katika maeneo 3,100 ya nchi hiyo unaonesha kuwa tangu mwaka 1980 hadi sasa idadi ya Wamarekani wanaofariki kutokana na utumiaji madawa ya kulevya, pombe na maradhi yanayotokana na matatizo ya akili imeongezeka mara tatu.

  • Trump ateua Mzayuni mwenye misimamo mikali kuwa balozi wa US, Israel

    Trump ateua Mzayuni mwenye misimamo mikali kuwa balozi wa US, Israel

    Dec 16, 2016 04:47

    Rais mteule wa Marekani ameteua David Friedman, Mzayuni mwenye misimamo ya kuchupa mipaka kuwa balozi wa Marekani katika utawala haramu wa Israel.

  • Russia: Madai kuwa Putin aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka'

    Russia: Madai kuwa Putin aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka'

    Dec 16, 2016 04:46

    Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema madai yanayoenezwa na vyombo vya habari kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo aliingilia uchaguzi wa Marekani ni 'dhihaka' na madai ya upuuzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS