Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Biden anakaribia kujiondoa, wagombea 4 wanajitayarisha kumrithi

    Biden anakaribia kujiondoa, wagombea 4 wanajitayarisha kumrithi

    Jul 19, 2024 22:49

    Rais wa Marekani, Joe Biden, anakaribia kufanya uamuzi wa kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao. Haya ni kwa mujibu wa wa habari zilizovuja zinazothibitisha kwamba, chama cha Democratic kwa sasa kinajadili machaguo ya hatua zinazofuata.

  • Iran: US ni kizingiti katika kupatiwa ufumbuzi masuala ya ulimwengu

    Iran: US ni kizingiti katika kupatiwa ufumbuzi masuala ya ulimwengu

    Jul 19, 2024 07:39

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa vikali maamuzi na hatua za mabavu na za upande mmoja zinazochukuliwa na Marekani katika masuala mbali mbali ya dunia akisisitiza kuwa, mwenendo huo unafanya hali ya mambo uliwenguni kuwa mbaya zaidi.

  • Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Jul 18, 2024 07:10

    Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.

  • Ruto: Wakfu wa US ndio unaochochea maandamano ya fujo Kenya

    Ruto: Wakfu wa US ndio unaochochea maandamano ya fujo Kenya

    Jul 15, 2024 23:44

    Rais William Ruto wa Kenya ameujia juu Wakfu wa Ford wa Marekani, akiuhusisha na vurugu zilizoshuhudiwa nchini humo wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa 2024 na jinsi utawala wa Kenya Kwanza unaendesha serikali.

  • Tukio la kupigwa risasi Trump; ishara ya kuongezeka ghasia za kisiasa nchini Marekani

    Tukio la kupigwa risasi Trump; ishara ya kuongezeka ghasia za kisiasa nchini Marekani

    Jul 14, 2024 09:52

    Tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani wakati akizungumza kwenye kampeni ya uchaguzi mbele ya wafuasi wake huko Butler, Pennsylvania, Jumamosi jioni, huku uchaguzi wa rais ukikaribia kufanyika nchini humo, limeibua gumzo kubwa la kisiasa katika vyombo vya habari vya Marekani.

  • Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani

    Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani

    Jul 12, 2024 07:11

    Harakati ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani iliyotikisa maeneo yote ya hiyo na kusababisha mamia ya maandamano, mikusanyiko na migomo katika vyuo vikuu kulalamikia jinai na uhalifu wa Israel hususan mauaji ya kimbari ya watu wa Gaza imekabiliwa na hasira kali ya serikali ya Washington.

  • Sayyid Nasrullah: Magenge ya kigaidi yameundwa na Marekani na Uingereza

    Sayyid Nasrullah: Magenge ya kigaidi yameundwa na Marekani na Uingereza

    Jul 12, 2024 03:17

    Katibu MKuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa magenge ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi yameundwa na yanaendeshwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na Uingereza.

  • Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Jul 11, 2024 23:34

    Mahakama moja nchini Iran imeiagiza Marekani kulipa takriban dola bilioni 7 kama fidia kwa waathiriwa wa ugonjwa wa ngozi wa Epidermolysis Bullosa (EB) nchini Iran.

  • Netanyahu kutopitia Ulaya akienda US, anahofia kukamatwa

    Netanyahu kutopitia Ulaya akienda US, anahofia kukamatwa

    Jul 10, 2024 23:03

    Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu amefuta mpango wa kushukia katika moja ya nchi za Ulaya kabla ya kuendelea na safari yake ya kwenda Marekani, akihofia kuwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) inajiandaa kutoa waranti wa kumtia nguvuni kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Gharama za mradi wa makombora ya nyuklia ya US zafikia dola bilioni 160

    Gharama za mradi wa makombora ya nyuklia ya US zafikia dola bilioni 160

    Jul 06, 2024 07:51

    Gharama za kufanikisha mradi wa kuzalisha makombora ya nyuklia wa Marekani zimeripotiwa kuongezeka hadi dola bilioni 160.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS