-
Jeshi la Marekani mchafuzi mkubwa zaidi wa hewa Mashariki ya Kati
Feb 21, 2023 10:54Ripoti iliyotolewa na tovuti ya habari ya Middle East Eye inaonyesha kuwa jeshi la Marekani ni moja ya wasababishaji wakubwa zaidi wa uchafuzi unaoleta mabadiliko ya hali ya hewa katika Mashariki ya Kati.
-
Abdollahian: Iran inapinga uwepo wa madola ajinabi katika eneo
Jan 01, 2023 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inapinga vikali uwepo wa madola ajinabi katika eneo hili la kistratejia la Asia Magharibi.
-
Muqtada Sadr na machafuko ya Iraq
Aug 30, 2022 13:00Jumatatu ya jana tarehe 29 Agosti Iraq ilishuhudia sokomoko na matukio ambayo kimsingi yalitabiriwa kutokea.
-
Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo
Jul 18, 2022 08:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameipongeza Iraq kwa nafasi yake athirifu na jitihada zake za kushajiisha utumiaji wa mazungumzo kwa ajili ya kujaribu kutatua matatizo na changamoto zinaolikabili eneo hili la Asia Magharibi.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Asia Magharibi haidhibitiwi tena na Marekani
Jul 01, 2022 13:18Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.
-
Mashariki ya Kati, ibra na somo la mgogoro wa Ukraine
Feb 26, 2022 10:27Tarehe 25 mwezi huu wa Februari Russia ilipuuza propaganda na tahadhari za nchi za Magharibi na kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukraine.
-
Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli
Nov 04, 2021 07:52Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa uvamizi wa Marekani nchini Syria na juhudi za nchi hiyo za kutaka kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli na kugonga mwamba.
-
"Kushirikiana na majirani, kipaumbele cha serikali mpya ya Iran"
Sep 01, 2021 07:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itashirikiana na majirani zake ili kufikia upeo wa juu wa ushirikiano wa kieneo.
-
Taathira za fikra za Imam Khomeini MA katika eneo la Asia Magharibi
Jun 04, 2021 09:35Ijumaa ya leo ya tarehe 4 Juni imesadifiana na mwaka wa 32 wa kufariki dunia mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Moja ya maudhui muhimu zinazozungumziwa leo hii ni taathira za fikra na sira ya Imam Khomeini MA katika eneo zima la Asia Magharibi.
-
Rouhani: Usalama na amani ya Asia Magharibi vitaimarishwa kupitia ushirikiano wa nchi za eneo
Feb 16, 2021 03:35Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema amani na usalama katika eneo la Asia Magharibi vinaweza kuimarishwa tu kupitia ushirikiano wa mataifa ya eneo hili na wala si kwa uingiliaji wa madola ajinabi.