Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mashariki ya Kati

  • Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    May 19, 2017 02:49

    Utafiti uliofanywa na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF katika nchi 11 za Mashariki ya Kati unaonyesha kuwa, kwa akali watoto milioni 29 ambao ni robo ya watoto wote wa eneo hili wanaishi katika umasikini.

  • Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    Sababu za kimsingi za umasikini wa watoto katika Mashariki ya Kati

    May 19, 2017 02:48

    Utafiti uliofanywa na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF katika nchi 11 za Mashariki ya Kati unaonyesha kuwa, kwa akali watoto milioni 29 ambao ni robo ya watoto wote wa eneo hili wanaishi katika umasikini.

  • Iran: Marekani ichunge mienendo yake katika Ghuba ya Uajemi

    Iran: Marekani ichunge mienendo yake katika Ghuba ya Uajemi

    Mar 26, 2017 03:40

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu limeionya vikali Marekani na kuitaka iwe makini katika harakati zinazofanywa na vikosi vyake vya majini katika Ghuba ya Uajemi.

  • Waislamu wa Kishia Saudi Arabia wakandamizwa na kunyimwa haki zao za kiraia

    Waislamu wa Kishia Saudi Arabia wakandamizwa na kunyimwa haki zao za kiraia

    Jan 04, 2017 12:31

    Katika mwaka wa kwanza wa kumbukumbu ya kuuawa shahidi Sheikh Nimr Baqir Al Nimr, mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Saudi Arabia, Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo katika eneo la Al Awamiya mashariki mwa nchi hiyo, wametangaza utiifu wao kwa malengo yake matukufu huku wakiutaka utawala wa ukoo wa Al Saud usitishe sera zake za kuwabagua Mashia.

  • Rais wa Lebanon apongeza nafasi ya Iran katika eneo

    Rais wa Lebanon apongeza nafasi ya Iran katika eneo

    Dec 24, 2016 07:49

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amepongeza na kusifu nafasi ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imechangia pakubwa kupatiwa ufumbuzi migogoro mbalimbali katika eneo.

  • Hizbullah: Tuna matumaini ya kuwa na

    Hizbullah: Tuna matumaini ya kuwa na "Mashariki ya Kati Yenye Muqawama"

    Nov 19, 2016 15:39

    Sayyid Hashim Safiyyuddin, mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema ushindi na kujitolea mhanga Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu kutawezesha kujengwa mustakabali wenye kung'ara kwa Umma wa Kiislamu na kuanzishwa "Mashariki ya Kati Yenye Muqawama".

  • Rouhani: Uingiliaji wa kigeni umeleta mgawanyiko Mashariki ya Kati

    Rouhani: Uingiliaji wa kigeni umeleta mgawanyiko Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 04:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo yanayolikabili eneo hili la Mashariki ya Kati yamesababishwa na uingiliaji unaofanywa na nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi za eneo hilo.

  • Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi

    Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi

    Nov 01, 2016 15:08

    Gordon Duff, Mhariri Mwandamizi wa jarida la Veterans Today la Marekani na pia mchambuzi wa masuala ya siasa amesema hatua ya Lebanon kupata rais mpya ni dhihirisho kuwa Saudi Arabia inazidi kupoteza ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Jafarov: Aal Saudia ni watekelezaji wa njama za Wazayuni dhidi ya Waislamu duniani

    Jafarov: Aal Saudia ni watekelezaji wa njama za Wazayuni dhidi ya Waislamu duniani

    Sep 10, 2016 14:01

    Mtaalamu wa masuala ya Mashariki ya Kati amesema kuwa, utawala wa Aal Saud nchini Saudia ni watekelezaji wa njama chafu za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Waislamu duniani.

  • "Silaha za Marekani zinachochea ugaidi Mashariki ya Kati"

    Aug 18, 2016 14:21

    Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Kijani nchini Marekani amesema kuna haja ya kuwekewa vikwazo vya silaha nchi zinazochochea machafuko na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kuwa, Washington imechangia pakubwa hali ya mchafukoge na harakati za ugaidi katika nchi za eneo hilo.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS