Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    May 11, 2024 11:46

    Kwa akali wakulima 30 wameuawa katika shambulizi la genge la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Hamas: Kuanzisha maeneo ya kunyonga watu huko Gaza ni uhalifu wa kikatili wa kivita

    Hamas: Kuanzisha maeneo ya kunyonga watu huko Gaza ni uhalifu wa kikatili wa kivita

    Apr 01, 2024 11:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba, kilichofichuliwa na vyombo vya habari vya Israel kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo ya kuanzishwa "maeneo ya kunyonga watu" katika Ukanda wa Gaza, ambapo mtu yeyote anayetembea katika maeneo hayo anauawa, ni jinai ya kikatili ya kivita.

  • Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Mar 21, 2024 02:54

    Hali ya wasi wasi imetanda nchini Sudan Kusini kufuatia mauaji ya watu 15 yaliyotokea katika eneo la Pibor, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Feb 27, 2024 07:28

    Makumi ya waumini wa Kiislamu waliuawa katika shambulizi dhidi ya msikiti nchini Burkina Faso, siku ambayo watu 15 waliuawa pia katika hujuma nyingine dhidi ya kanisa nchini humo.

  • Imam wa Swala ya Jamaa Marekani auawa kwa kupigwa risasi

    Imam wa Swala ya Jamaa Marekani auawa kwa kupigwa risasi

    Jan 05, 2024 07:46

    Imamu wa Msikiti wa Muhammad huko Newark, katika jimbo la New Jersey nchini Marekani ameuawa kwa kupigwa risasi mbele ya msikiti huo.

  • Watu 16 wauawa katika mapigano jimboni Plateau, kaskazini mwa Nigeria

    Watu 16 wauawa katika mapigano jimboni Plateau, kaskazini mwa Nigeria

    Dec 25, 2023 10:43

    Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulio la wabeba silaha katika jimbo la Plateau, kaskazini ya kati ya Nigeria.

  • Mashambulio ya anga ya Israel yaua Wapalestina 100 Jabalia

    Mashambulio ya anga ya Israel yaua Wapalestina 100 Jabalia

    Dec 18, 2023 10:19

    Wapalestina zaidi ya 100 wameuawa shahidi katika mashambulizi mapya ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyolenga kambi ya wakimbizi ya Jabalia katika Ukanda wa Gaza.

  • Wanafunzi 13 wauawa wakisherehekea Maulidi Nigeria

    Wanafunzi 13 wauawa wakisherehekea Maulidi Nigeria

    Nov 07, 2023 13:22

    Kwa akali wanafunzi 13 wa madrasa ya Kiislamu wameuawa katika shambulizi la wabeba silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • UN: Watu 183 wameuawa katika mapigano Amhara, Ethiopia

    UN: Watu 183 wameuawa katika mapigano Amhara, Ethiopia

    Aug 30, 2023 08:16

    Umoja wa Mataifa umesema kwa akali watu 183 wameuawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia.

  • Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan

    Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan

    Jul 26, 2023 06:11

    Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga na ardhini viungani mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS