-
Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi
Sep 11, 2022 07:36Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani mauaji ya mtu mmoja mwenye asili ya Afrika yaliyofanywa na askari polisi wa nchi hiyo.
-
Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan
Sep 02, 2022 07:30Kwa akali watu saba wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila yaliyozuka katika jimbo la Blue Nile, kusini mwa Sudan.
-
Magaidi wa ADF waua wanavijiji 40 mashariki ya DRC
Aug 31, 2022 02:57Raia wasiopungua 40 wameuawa katika wimbi la mashambulzi yaliyofanywa na kundi moja la kigaidi mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine
Aug 24, 2022 05:08Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.
-
Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7
Aug 04, 2022 20:44Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika.
-
Askari 12 wa Sudan Kusini wauawa katika jimbo lenye utajiri wa mafuta
Jul 23, 2022 06:53Wanajeshi wasiopungua 12 wa Sudan Kusini wameuawa huku wengine 13 wakijeruhiwa katika shambulio la waasi kaskazini mwa nchi.
-
Waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan wapindukia 100
Jul 21, 2022 08:12Idadi ya watu waliouawa katika machafuko ya kikabila katika jimbo la Blue Nile kusini mashariki mwa Sudan imeongezeka na kufikia watu 105.
-
Watu wengine 9 wauawa kwa kupigwa risasi Afrika Kusini
Jul 18, 2022 03:08Watu wasiopungua tisa wameuawa kwa kupigwa risasi na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika matukio mawili tofauti ya ufyatuaji risasi nchini Afrika Kusini.
-
UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR
Jul 14, 2022 21:59Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amelaani wimbi la mashambulio yanayofanywa na wanamgambo wa Allied Democratic Forces (ADF) dhidi ya raia katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Genge la ADF laendeleza wimbi la umwagaji damu DRC
Jul 11, 2022 06:52Watoto wanne ni miongoni mwa watu watano waliouawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.