Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Watu wengine 9 wauawa kwa kupigwa risasi Afrika Kusini

    Watu wengine 9 wauawa kwa kupigwa risasi Afrika Kusini

    Jul 18, 2022 07:38

    Watu wasiopungua tisa wameuawa kwa kupigwa risasi na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika matukio mawili tofauti ya ufyatuaji risasi nchini Afrika Kusini.

  • UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    Jul 15, 2022 02:29

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amelaani wimbi la mashambulio yanayofanywa na wanamgambo wa Allied Democratic Forces (ADF) dhidi ya raia katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Genge la ADF laendeleza wimbi la umwagaji damu DRC

    Genge la ADF laendeleza wimbi la umwagaji damu DRC

    Jul 11, 2022 11:22

    Watoto wanne ni miongoni mwa watu watano waliouawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • ADF yashambulia kliniki na kuua watu 13 mashariki ya DRC

    ADF yashambulia kliniki na kuua watu 13 mashariki ya DRC

    Jul 09, 2022 07:37

    Kwa akali watu 13 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Dunia yalaani mauaji ya kigaidi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan

    Dunia yalaani mauaji ya kigaidi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan

    Jul 08, 2022 10:09

    Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mauaji ya kigaidi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe.

  • Wizara ya Mambo ya Ndani Tunisia: Kuna njama ya kumuua Kais Saied

    Wizara ya Mambo ya Ndani Tunisia: Kuna njama ya kumuua Kais Saied

    Jun 25, 2022 03:02

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza kuwa ina taarifa za kuaminika zinazothibitisha kuwepo kwa vitisho vinavyolenga uhai wa Rais wa Jamhuri, Kais Saied.

  • UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    Jun 24, 2022 13:26

    Umoja wa Mataifa umesema taarifa ulizokusanya zinaonesha kuwa, Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya al-Jazeera ya Qatar aliuawa kwa kupigwa risasi na vikosi vya Israel.

  • Zaidi ya 130 wauawa katika mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Zaidi ya 130 wauawa katika mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Jun 21, 2022 07:48

    Makumi ya raia wameuawa nchini Mali katika wimbi jipya la magenge ya wanamgambo wanaobeba silaha katikati ya nchi hiyo ya eneo la Sahel.

  • NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    Jun 21, 2022 02:39

    Uchunguzi mpya wa gazeti la Marekani la New York Times umethibitisha kuwa risasi iliyomuua mwandishi wa habari wa televisheni ya Al Jazeera ya Qatar, Shireen Abu Akleh, ilifyatuliwa na mwanajeshi wa kikosi maalumu cha Israel, katika eneo ambalo halikuwa na mwanamgambo hata mmoja wa Kipalestina.

  • Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Jun 15, 2022 11:56

    Polisi ya Afrika Kusini imesema watu zaidi ya 1,400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng ulioko kaskazini mashariki mwa nchi katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS