Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mazungumzo ya amani

  • Vizuizi vinavyokwamisha kuanza mazungumzo ya amani ya Afghanistan

    Vizuizi vinavyokwamisha kuanza mazungumzo ya amani ya Afghanistan

    Sep 05, 2020 02:31

    Safari ya ujumbe unaoiwakilisha serikali ya Afghanistan katika mazungumzo ya amani na kundi la Taliban, ambao ulikuwa uondoke Kabul kuelekea mjini Doha, Qatar imeakhirishwa.

  • Abdullah Abdullah: Duru ya kwanza ya mazungumzo ya amani baina ya Waafghani itafanyika Qatar

    Abdullah Abdullah: Duru ya kwanza ya mazungumzo ya amani baina ya Waafghani itafanyika Qatar

    Aug 09, 2020 03:17

    Mkuu wa Baraza Kuu la Maslahi ya Taifa la Afghanistan amesema, duru ya kwanza ya mazungumzo ya kutafuta suluhu na kurejesha amani kati ya serikali ya nchi hyo na kundi la Taliban itafanyika nchini Qatar.

  • Yemen yajibu hatua ya muungano vamizi wa Saudia ya kupuuza mpango wa amani

    Yemen yajibu hatua ya muungano vamizi wa Saudia ya kupuuza mpango wa amani

    Oct 03, 2019 14:01

    Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia utakabiliwa na vipigo visivyo na ukomo iwapo mpango wa amani wa Yemen utafeli.

  • Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Jul 05, 2019 02:55

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Amani: Afghanistan katu haitarudi kwenye enzi za utawala wa Taliban

    Mkuu wa Baraza Kuu la Amani: Afghanistan katu haitarudi kwenye enzi za utawala wa Taliban

    Mar 03, 2019 02:27

    Mkuu wa Baraza Kuu la Amani la Afghanistan ametangaza kuwa, nchi hiyo katu haitarudi tena nyuma kwenye enzi za utawala wa Taliban.

  • Vibaraka wa Saudia katika mazungumzo ya Yemen washindwa kuchukua maamuzi

    Vibaraka wa Saudia katika mazungumzo ya Yemen washindwa kuchukua maamuzi

    Dec 09, 2018 02:54

    Afisa wa Serikali ya Uokozi wa Kitaifa Yemen katika mazungumzo ya amani ya Yemen yanaoendelea Sweden amesema kuwa, wajumbe wanaoungwa mkono na Saudia Arabia katika mazungumzo hayo hawana uwezo wa kuchukua maamuzi.

  • Riek Machar akubali kusaini makubaliano ya mwisho ya amani ya Sudan Kusini

    Riek Machar akubali kusaini makubaliano ya mwisho ya amani ya Sudan Kusini

    Aug 29, 2018 07:47

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini amekubali kutia saini makubaliano ya mwisho ya mkataba wa amani na serikali ya Juba ambayo yatamaliza mgogoro wa muda mrefu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Salva Kiir na Riek Machar kutia saini mkataba wa amani Alkhamisi ya kesho

    Salva Kiir na Riek Machar kutia saini mkataba wa amani Alkhamisi ya kesho

    Jul 18, 2018 13:51

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imetangaza kuwa, pande hasimu nchini Sudan Kusini zimefikia makubaliano ya kugawana madaraka ambayo yatatiwa saini Alkhamisi ya kesho.

  • Kutolewa mwito mwengine na serikali ya Afghanistan kwa Taliban wa kujiunga na mchakato wa mazungumzo ya amani

    Kutolewa mwito mwengine na serikali ya Afghanistan kwa Taliban wa kujiunga na mchakato wa mazungumzo ya amani

    Nov 17, 2017 02:43

    Abdullah Abdullah, Mkuu wa Baraza la Utekelezaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Afghanistan, kwa mara nyengine tena ametoa wito wa kulitaka kundi la Taliban lijiunge na mchakato wa mazungumzo ya amani ya nchi hiyo.

  • "Kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan ni hatari kwa umoja wa Iraq"

    Sep 15, 2017 14:12

    Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq ametahadharisha juu ya taathira hasi ya kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan, akisisitiza kuwa, kitendo hicho hakitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuhatarisha usalama, amani na umoja wa nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS