Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mazungumzo ya amani

  • Kuanza tena mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Mali na waasi

    Kuanza tena mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Mali na waasi

    Jun 26, 2017 03:33

    Serikali ya Mali na makundi ya waasi nchini humo wamenza tena ya mazungumzo ya amani kutokana na kuongezeka kwa machafuko na ukosefu wa amani katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Syria na taathira ya hatua za kijeshi za Marekani

    Duru mpya ya mazungumzo ya Syria na taathira ya hatua za kijeshi za Marekani

    May 04, 2017 15:06

    Duru ya nne ya mazungumzo ya mjini Astana, Kazakhstan ilianza Jumatano ya jana. Duru hiyo ya mazungumzo ya Syria imefanyika huku yakishuhudiwa mabadiliko madogo kwa upande wa washiriki.

  • Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran

    Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran

    Apr 18, 2017 03:52

    Mkutano wa wataalamu kuhusu mazungumzo ya amani Syria unafanyika leo mjini Tehran, Iran katika fremu ya mchakato wa amani wa Astana, Kazakhstan.

  • Juhudi za Rais wa Sudan Kusini za kurejesha amani nchini

    Juhudi za Rais wa Sudan Kusini za kurejesha amani nchini

    Feb 22, 2017 07:54

    Rais wa Sudan Kusini ameyatolea mwito makundi ya kisiasa nchini humo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.

  • Serikali ya Syria: Tuko tayari kwa ajili ya mazungumzo na wapinzani

    Serikali ya Syria: Tuko tayari kwa ajili ya mazungumzo na wapinzani

    Jul 25, 2016 04:16

    Serikali ya Syria imetangaza kuwa, iko tayari kwa ajili ya kuendelea na mazungumzo na makundi ya wanamgambo kwa shabaha ya kurejesha amani nchini humo na kuhitimisha vita vya miaka 5 katika nchi hiyo.

  • Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Jul 14, 2016 07:20

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kwa usimamizi wa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa imeshindwa kuwa na matunda kutokana na makundi ya upinzani kulalamikia kushiriki katika mazungumzo hayo viongozi kadhaa wa serikali ya Bujumbura.

  • Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura

    Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura

    Jul 13, 2016 15:23

    Waziri wa zamani wa Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi nje ya nyumba yake mjini Bujumbura.

  • Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Jun 30, 2016 07:56

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Upinzani wa Israel kwa mpango wa amani wa Waarabu

    Upinzani wa Israel kwa mpango wa amani wa Waarabu

    Jun 14, 2016 08:04

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa anapinga mpango wa amani uliopendekezwa na nchi za Kiarabu.

  • Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Jun 11, 2016 07:35

    Licha ya juhudi za kimataifa na za kieneo za kutaka kutatuliwa mgogoro wa Burundi, lakini serikali ya nchi hiyo imesema haiko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa upinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS