-
Bin Salman amtia mbaroni rafiki wa karibu wa baba yake kwa kumkosoa
Jun 24, 2019 07:53Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia amemtia mbaroni Nayef bin Hathleen, mmoja wa viongozi wa makabila ya Saudia na rafiki wa karibu wa Mfalme Salman bin Abdulaziz wa nchi hiyo baada ya Hathleen kuandika barua ya kumpa nasaha mfalme wa nchi hiyo.
-
Mkuu wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Bahrain atiwa nguvuni tena masaa 24 tangu alipotolewa jela
Jan 31, 2019 14:54Utawala wa Aal Khalifa umemtia nguvuni tena Sheikh Majid Mash'al, mwanazuoni wa Kishia na mkuu wa Baraza la Maulamaa wa Kiislamu wa Bahrain, baada ya kupita masaa 24 tu tangu alipotolewa jela.
-
Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani
Jan 17, 2019 08:20Marekani siku zote imekuwa ikijinadi kuwa moja ya nchi kuu zinazounga mkono uhuru na haki za binadamu duniani na mara kwa mara imekuwa ikizituhumu nchi nyingine kuwa zinakiuka haki za binadamu. Lakini kinyume chake, Marekani ni moja ya nchi zinazokiuka pakubwa haki za binadamu ulimwenguni.
-
Vibaraka 45 wa utawala wa Kizayuni watiwa mbaroni Ukanda wa Ghaza
Jan 09, 2019 09:31Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza imetangaza habari ya kutiwa mbaroni raia 45 wa Palestina wanaotuhumiwa kushirikiana na kuufanyia ujasusi utawala haramu wa Israel.
-
Zaidi ya waandamanaji 800 wakamatwa Sudan
Jan 08, 2019 07:24Zaidi ya waandamanaji 816 wamekamatwa kote Sudan katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita baada ya kuanza maandamano dhidi ya utawala wa Omar al-Bashir.
-
Kiongozi wa kundi la kibaguzi nchini Marekani la 'Rise Above Movement' atiwa mbaroni katika jimbo la California
Oct 25, 2018 07:46Maafisa wa polisi nchini Marekani wametangaza kumtia mbaroni kinara wa kundi la kibaguzi akiwa pamoja na watu wengine wawili katika jimbo la California, kwa tuhuma za kuibua ghasia na machafuko nchini humo.
-
Maelfu ya vijana chipukizi wa Kipalestina wametiwa nguvuni na utawala wa Kizayuni
Oct 10, 2018 01:25Vijana chipukizi wa Kipalestina wasiopungua 5,200 wametiwa nguvuni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha miaka mitatu ya karibuni.
-
HRW: Saudia iweke na uwazi kuhusu mwandishi habari Jamal Khashoggi
Oct 06, 2018 07:16Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka Saudi Arabia iwe na sera za wazi kuhusu mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa nchi hiyo Jamal Khashoggi aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha baada ya kuingia katika ubalozi wa Saudi Arabia nchini Uturuki.
-
Sheikh mmoja mkubwa afariki dunia akiwa jela nchini Saudi Arabia
Sep 28, 2018 07:44Vyombo vya habari nchini Saudia vimetangaza habari ya kufariki dunia Safar al-Hawali, mmoja wa wanazuioni wakubwa wa nchi hiyo akiwa katika jela za utawala wa Aal Saud.
-
Askari wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wawatia nguvuni wanachama 100 wa HAMAS Ufukwe wa Magharibi
Sep 27, 2018 15:40Askari usalama wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wamewatia nguvuni makumi ya wanachama waandamizi na wafuasi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.