-
Madaesh zaidi ya 260 wakamatwa wakiwa wamejificha miongoni mwa wakimbizi wa Syria huko Deir-Zor
Dec 26, 2018 14:37Vikosi vinavyojiita vya kidemokrasia nchini Syria vimewatia mbaroni magaidi wa kundi la Daesh wapatao 262 ambao walikuwa wamejificha miongoni mwa wakimbizi wa Syria waliorejea kutoka maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo kaskazini mwa mkoa wa Deir-Zor nchini humo.
-
Mshauri wa Bashar al-Assad: Wamarekani wamekimbia Syria
Dec 24, 2018 02:50Mshauri wa kisiasa na wa masuala ya habari wa Rais wa Syria amesema kuhusu hatua ya wanajeshi wa Marekani kuondoka nchini humo kwamba: Wamarekani wamekimbia, kwa sababu sisi tumesimama imara.
-
Harakati ya Hizbullah: Marekani inaondoka Syria kutokana na kushindwa
Dec 22, 2018 02:57Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaondoka nchini Syria kutokana na kushindwa siasa zake katika Mashariki ya Kati na kutoweza kuuhami na kuulinda utawala haramu wa Israel.
-
Kufikia tamati majukumu ya Staffan de Mistura katika faili la Syria
Dec 22, 2018 02:55Staffan de Mistura, Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria ametoa ripoti yake ya mwisho katika Baraza la Usalama na kutangaza rasmi kufikia tamati majukumu yake nchini Syria.
-
Kukiri Marekani kushindwa siasa zake za kuipindua serikali ya Syria
Dec 19, 2018 02:48Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya nchi hiyo vilivyoanza mwaka 2011 vimeitumbukiza nchi hiyo ya Kiarabu katika mgogoro mkubwa. Suala hilo linatumiwa vibaya pia na madola ya kibeberu ya Magharibi yakiongozwa na Marekani kwa kushirikiana na vibaraka wake wa nchi za Kiarabu kama vile Saudi Arabia kumalizia hasira zao kwa taifa hilo.
-
Jeshi la anga la Iraq lafanya oparesheni dhidi ya Daesh katika ardhi ya Syria
Dec 16, 2018 15:18Wanamgambo kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika shambulio la anga la jeshi la Iraq lililolenga mkusanyiko wa viongozi wa Daesh katika eneo la al Susah mkoani Deir Zor nchini Syria.
-
Syria yalalamikia wizi unaofanywa na Marekani, Ufaransa na Uturuki wa turathi zake
Dec 12, 2018 01:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa ikilalamikia wizi unaofanywa na wavamizi hususan Marekani, Ufaransa na Uturuki wa turathi zake za kale za kiutamaduni.
-
Magaidi Syria wapokea 'drones' 100 za kufanya hujuma za kemikali Idlib
Dec 04, 2018 14:43Kundi la kigaidi la Jabhatu Nusra la Syria limepokea ndege zisizo na rubani zipatazo 100 litakazozitumia kufanya mashambulizi ya kemikali za sumu katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Kamanda wa utawala wa Kizayuni akiri Waziri wa Vita wa zamani kukutana na magaidi wa Syria
Nov 24, 2018 14:22Kamanda mmoja wa utawala haramu wa Kizayuni, amefichua kwamba Moshe Ya'alon, Waziri wa zamani wa Vita wa Utawala huo alikutana na magaidi wanaopinga serikali ya Syria.
-
Wafaransa wawafundisha magaidi namna ya kutumia silaha za kemikali nchini Syria
Nov 22, 2018 14:45Shirika la habari la Sputnik limenukuu duru moja ya kuaminika ikisema kuwa wataalamu wa kemikali wa Ufaransa wanawafundisha magaidi mbinu za kutumia silaha za kemikali nchini Syria.