Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo  kati ya Tehran na Cairo

    Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo

    Dec 25, 2022 04:09

    Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.

  • Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Oct 11, 2022 08:42

    Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qurani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Marekani yaipa Misri msaada wa kijeshi licha ya Cairo kukiuka haki za binadamu

    Marekani yaipa Misri msaada wa kijeshi licha ya Cairo kukiuka haki za binadamu

    Sep 15, 2022 06:22

    Marekani itaipatia Misri sehemu kubwa ya dola milioni 300 zilizotengwa kama msaada wa kijeshi wa Washington kwa Cairo wenye masharti licha ya pande mbalimbali kudhihirisha wasiwasi wao kuhusu rekodi ya haki za binadamu ya Misri.

  • Ujumbe wa Israel wafanya safari ya kificho nchini Misri

    Ujumbe wa Israel wafanya safari ya kificho nchini Misri

    Sep 05, 2022 06:38

    Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya safari ya siri nchini Misri kwa lengo la kujaribu kupunguza taharuki baina ya Cairo na Tel Aviv.

  • Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati

    Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati

    Aug 22, 2022 06:34

    Vikosi maalumu vya majeshi ya Misri, Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu, Ugiriki na Cyprus vimezindua mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Misri.

  • Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya

    Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya

    Jul 26, 2022 02:03

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameanza safari yake ya siku 5 barani Afrika kwa kuitembelea Misri ambako aliwasili Jumapili, Julai 24.

  • Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Jul 22, 2022 03:21

    Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.

  • Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri

    Israel yaidhinisha Saudia kupewa visiwa viwili vya Misri

    Jul 15, 2022 22:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kubariki mpango wa kukabidhi visiwa viwili vya kistratajia vya Misri kwa Saudi Arabia.

  • Vyama vya siasa Misri vyapinga kuanzishwa muungano wa aina yoyote kati ya Waarabu na Israel

    Vyama vya siasa Misri vyapinga kuanzishwa muungano wa aina yoyote kati ya Waarabu na Israel

    Jul 14, 2022 03:12

    Vyama kadhaa vya siasa nchini Misri vimetangaza kuwa vinapinga kuanzishwa aina yoyote ya muungano wa kijeshi kati ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua kama hiyo itahatarisha amani na usalama wa kimataifa.

  • Misri kuanza mazungumzo ya kitaifa leo Jumanne bila ya Ikhwanul Muslimin

    Misri kuanza mazungumzo ya kitaifa leo Jumanne bila ya Ikhwanul Muslimin

    Jul 04, 2022 20:31

    Bodi mpya ya wadhamini yenye wanachama 19 iliyoundwa kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa ya Misri itakuwa na mkutano wake wa kwanza leo Jumanne; ikiwa ni ishara ya kuashiria kuanza mazungumzo kati ya vyama vya siasa yaliyoitishwa na Rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah al Sisi, mwezi Aprili mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS