-
Mawaziri watatu wakumbwa na ugonjwa wa corona nchini Misri
Feb 22, 2021 10:33Mawaziri watatu wa Misri yaani waziri wa biashara na viwanda, waziri wa mahakama na waziri wa fedha wamekumbwa na ugonjwa wa COVID-19.
-
Marekani yaiuzia silaha Misri licha ya serikali ya el Sisi kuendelea kukiuka haki za binadamu
Feb 17, 2021 23:08Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola milioni 200 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Mwakilishi wa Umoja wa Afrika ziarani Misri kujadili bwawa la An Nahdhah
Feb 01, 2021 23:31Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amekutana na kufanya mashauriano na viongozi wa Misri huko Cairo kuhusu bwawa la An Nahdhah.
-
Misri yawaweka viongozi 50 wa Ikhwanul Muslimin katika orodha ya magaidi
Jan 26, 2021 07:25Mahakama nchini Misri imewaweka viongozi 50 wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya magaidi.
-
Vifo na kunyongwa wafungwa katika magereza ya Misri vyaongezeka
Jan 10, 2021 21:11Kitengo cha upashaji habari cha Misri kimetangaza kuwa watuhumiwa wa masuala ya kisiasa wasiopungua 37 walinyongwa mwaka uliopita wa 2020 na watu wengine 75 waliaga dunia kwa uzembe wa kutopatiwa matibabu katika magereza ya Misri.
-
Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa na kujeruhiwa kaskazini mwa nchi
Jan 02, 2021 03:53Wanajeshi wasiopungua wanane wa Misri wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lao kukanyaga bomu katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia
Dec 30, 2020 02:47Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.
-
Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020
Dec 29, 2020 02:39Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari sana kwa waandishi habari katika mwaka huu wa 2020.
-
Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya
Dec 28, 2020 04:40Serikali ya Misri imetangaza kuwa, karibuni hivi itafungua tena ubalozi wake katika nchi jirani ya Libya.
-
Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu
Dec 18, 2020 23:30Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.