-
Rais wa Misri aliamuru jeshi kuandaa oparesheni nje ya nchi
Jun 21, 2020 03:45Rais Abdel Fattah el-Sisi ameliamuru jeshi la Misri kujitayarisha kutekeleza oparesheni ndani na nje ya nchi kwa lengo la kulinda usalama wa taifa huku hali ya taharuki ikiongezeka baina ya nchi hiyo na Uturuki kuhusu kadhia ya Libya.
-
Misri yataka UN iingilie kati mzozo wa bwawa la al-Nahdha
Jun 20, 2020 02:17Misri imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liingilie kati kwa ajili ya kutatua mgogoro wa bwawa la al-Nahdha la nchini Ethiopia.
-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Hakuna anayeamini kwamba Morsi alikufa kifo cha kawaida
Jun 18, 2020 07:27Jumuiya ya kimataifa za kutetea haki za binadamu zimetoa taarifa kwa mnasaba wa kutimia mwaka mmoja tangu kuaga dunia rais wa zamani wa Misri, Mohammad Morsi zikisisitiza kuwa, hakuna hata mtu mmoja aliyeamini riwaya ya serikali ya Misri iliyodai Morsi alifariki dunia kwa kifo cha kawaida.
-
Misri na Ethiopia zaafikiana juu ya maji ya bwana la al Nahdha
Jun 18, 2020 03:15Misri na Ethiopia zimeafikiana juu ya jinsi ya kujaza maji katika bwana lililozusha mgogoro mkubwa baina ya pande hizo mbili la al Nahdha.
-
Misri kufungua viwanja vya ndege Julai, Algeria yalegeza sheria za kudhibiti corona
Jun 16, 2020 00:25Misri imetangaza kuwa itafungua viwanja vyake vyote vya ndege kuanzia Julai Mosi, baada ya kuvifunga kwa miezi kadhaa sasa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya
Jun 08, 2020 07:34Serikali ya Morocco imepinga mpango wa Misri kuhusu Libya na kusisitiza kuwa muafaka wa kisiasa wa al Sakhirat ni marejeo asili ya ufumbuzi wa mgogoro wa Libya.
-
Waziri wa zamani wa Misri: Israel ni adui wa kiistratajia wa Wamisri
Jun 07, 2020 22:08Waziri wa zamani wa Misri ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kama adui wa kistratajia wa wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.
-
Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo
Jun 04, 2020 07:13Afisa wa serikali ya jimbo la Oromia nchini Ethiopia ameituhumu serikali ya Misri kuwa imechochea maandamano na ghasia zilizoshuhudiwa katika siku za hivi karibuni jimboni humo.
-
Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri
Jun 04, 2020 03:19Kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Kitaifa la Libya yuko mjini Cairo Misri, kwa lengo la kuonana na kuzungumza na viongozi wa nchi hiyo.
-
Magaidi 21 waliopanga kuvuruga sherehe za Iddi wauawa Sinai, Misri
May 24, 2020 05:15Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 21 wa genge moja la kigaidi katika operesheni mbili tofauti zilizofanyika katika Peninsula ya Sinai.