-
Amnesty yalaani kukingiwa kifua wauaji wa raia Rabi'a al-Adawiyya, Misri
Aug 15, 2017 11:46Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufikishwa mahakamani maafisa na watu wote waliohusika na mauaji ya raia katika Medani ya Rabi'a al-Adawiyya katika mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Makumi wafariki dunia katika ajali ya garimoshi Alexandria, Misri
Aug 11, 2017 11:48Makumi ya watu wameaga dunia na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika ajali ya garimoshi iliyotokea adhuhuri ya leo katika mkoa wa Alexandria nchini Misri.
-
Magaidi waliohusika na mauaji ya Wakristo wa Kicopti nchini Misri, wauawa
Aug 10, 2017 23:45Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wanaodhaniwa kuhusika na shambulizi lililowalenga Wakristo wa Kicopti kusini mwa nchi hiyo.
-
Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai
Aug 10, 2017 10:12Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daeh (ISIS) limekiri kutekeleza shambulizi dhidi ya gari la polisi ya Misri na kuua maafisa wanne wa usalama katika eneo la Sinai.
-
Ripoti: Serikali ya Misri imeua raia 135 kinyume cha sheria
Aug 07, 2017 12:04Taasisi ya Kuratibu Masuala ya Haki za Binadamu na Uhuru nchini Misri imefichua kwamba, karibu watu 135 wameuawa kinyume cha sheria nchini humo katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya mwaka huu wa 2017.
-
Mufti wa zamani Misri atahadharisha kuhusu mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu Magharibi
Aug 01, 2017 01:28Mufti wa zamani wa Misri ametahadharisha kuhusu athari mbaya za mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu katika nchi za Magharibi.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai
Jul 26, 2017 03:13Jeshi la Misri limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi, katika operesheni yake yenye lengo la kuwafuta kabisa magaidi wenye misimamo mikali ambao wanaendeleza harakati zao katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Misri yawahukumu maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwani
Jul 25, 2017 22:38Mahakama ya Jinai ya Misri imewahukumu wanaharakati 43 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kifungo cha maisha jela kwa madai kwamba wamepatikana na hatia ya kushiriki maandamano dhidi ya serikali.
-
Watu 7 wauawa katika shambulio la bomu Sinai, Misri
Jul 25, 2017 09:51Raia 7 wakiwemo watoto wawili wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa garini katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa Misri.
-
Mahakama ya Misri yawahukumu kifo watu 28 kwa tuhuma ya kumuua Mwanasheria Mkuu
Jul 22, 2017 12:23Mahakama ya Jinai ya Cairo nchini Misri imewahukumu kifo watu 28 kati ya 67 wanaotuhumiwa kumuua aliyekuwa mwanasheria mkuu wa nchi hiyo.