Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wanajeshi watano wauawa kaskazini mwa Misri

    Wanajeshi watano wauawa kaskazini mwa Misri

    Jul 18, 2017 03:08

    Wanajeshi wasiopungua watano wa serikali ya Misri wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu

    Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu

    Jul 16, 2017 23:55

    Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Dini katika Bunge la Misri amesema kuwa, Uislamu sio dini ya kufurutu ada, aasubi na utumiaji mabavu.

  • Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Jul 16, 2017 10:38

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wakufurishaji katikati ya Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Muuaji wa watalii wa kigeni Misri atiwa nguvuni

    Muuaji wa watalii wa kigeni Misri atiwa nguvuni

    Jul 15, 2017 01:10

    Mtu aliyehusika na mauaji ya watalii wawili wa kigeni kwa kutumia silaha baridi amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Misri.

  • Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Jul 10, 2017 01:34

    Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Jul 09, 2017 09:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Jul 08, 2017 12:23

    Misri imeifungia Qatar njia zote za majini zinazotumiwa na meli za Qatar isipokuwa mfereji wa Suez.

  • Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa

    Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa

    Jul 07, 2017 22:22

    Mwakilishi mmoja wa Bunge la Misri amefichua baadhi ya hatua zinazotarajiwa kuchukuliwa katika siku zijazo na Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya Qatar.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi Sinai, yataka dunia kushirikiana zaidi

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi Sinai, yataka dunia kushirikiana zaidi

    Jul 07, 2017 22:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika jana katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua makumi ya watu.

  • Makumi wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai, Misri

    Makumi wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai, Misri

    Jul 07, 2017 10:48

    Wanajeshi wasiopungua kumi wameuawa katika shambulio la kigaidi lililofanyika leo huko Sinai kaskazini mwa Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS