-
Wanajeshi watano wauawa kaskazini mwa Misri
Jul 18, 2017 03:08Wanajeshi wasiopungua watano wa serikali ya Misri wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu
Jul 16, 2017 23:55Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Dini katika Bunge la Misri amesema kuwa, Uislamu sio dini ya kufurutu ada, aasubi na utumiaji mabavu.
-
Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri
Jul 16, 2017 10:38Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wakufurishaji katikati ya Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Muuaji wa watalii wa kigeni Misri atiwa nguvuni
Jul 15, 2017 01:10Mtu aliyehusika na mauaji ya watalii wawili wa kigeni kwa kutumia silaha baridi amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Misri.
-
Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi
Jul 10, 2017 01:34Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.
-
Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya
Jul 09, 2017 09:33Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.
-
Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar
Jul 08, 2017 12:23Misri imeifungia Qatar njia zote za majini zinazotumiwa na meli za Qatar isipokuwa mfereji wa Suez.
-
Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa
Jul 07, 2017 22:22Mwakilishi mmoja wa Bunge la Misri amefichua baadhi ya hatua zinazotarajiwa kuchukuliwa katika siku zijazo na Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya Qatar.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi Sinai, yataka dunia kushirikiana zaidi
Jul 07, 2017 22:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika jana katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua makumi ya watu.
-
Makumi wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai, Misri
Jul 07, 2017 10:48Wanajeshi wasiopungua kumi wameuawa katika shambulio la kigaidi lililofanyika leo huko Sinai kaskazini mwa Misri.