Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yawahukumu maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwani

    Misri yawahukumu maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwani

    Jul 25, 2017 22:38

    Mahakama ya Jinai ya Misri imewahukumu wanaharakati 43 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kifungo cha maisha jela kwa madai kwamba wamepatikana na hatia ya kushiriki maandamano dhidi ya serikali.

  • Watu 7 wauawa katika shambulio la bomu Sinai, Misri

    Watu 7 wauawa katika shambulio la bomu Sinai, Misri

    Jul 25, 2017 09:51

    Raia 7 wakiwemo watoto wawili wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa garini katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa Misri.

  • Mahakama ya Misri yawahukumu kifo watu 28 kwa tuhuma ya kumuua Mwanasheria Mkuu

    Mahakama ya Misri yawahukumu kifo watu 28 kwa tuhuma ya kumuua Mwanasheria Mkuu

    Jul 22, 2017 12:23

    Mahakama ya Jinai ya Cairo nchini Misri imewahukumu kifo watu 28 kati ya 67 wanaotuhumiwa kumuua aliyekuwa mwanasheria mkuu wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi watano wauawa kaskazini mwa Misri

    Wanajeshi watano wauawa kaskazini mwa Misri

    Jul 18, 2017 03:08

    Wanajeshi wasiopungua watano wa serikali ya Misri wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu

    Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu

    Jul 16, 2017 23:55

    Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Dini katika Bunge la Misri amesema kuwa, Uislamu sio dini ya kufurutu ada, aasubi na utumiaji mabavu.

  • Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Magaidi watatu wakufurishaji wauawa Sinai, Misri

    Jul 16, 2017 10:38

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa magaidi watatu wakufurishaji katikati ya Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Muuaji wa watalii wa kigeni Misri atiwa nguvuni

    Muuaji wa watalii wa kigeni Misri atiwa nguvuni

    Jul 15, 2017 01:10

    Mtu aliyehusika na mauaji ya watalii wawili wa kigeni kwa kutumia silaha baridi amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Misri.

  • Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi

    Jul 10, 2017 01:34

    Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Misri kuchunguza mauaji ya raia wake nchini Libya

    Jul 09, 2017 09:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusu maiti za raia 19 wa nchi hiyo zilizopatikana katika eneo la jangwani kaskazini mashariki mwa Libya.

  • Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar

    Jul 08, 2017 12:23

    Misri imeifungia Qatar njia zote za majini zinazotumiwa na meli za Qatar isipokuwa mfereji wa Suez.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS