-
Misri yashutumiwa kwa kuwatia mbaroni makumi ya wanachuo wa kigeni
Jul 07, 2017 02:08Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limeishutumu Misri kwa kuwatia mbaroni makumi ya wanachuo Waislamu kutoka China.
-
Wapinzani wa serikali ya Misri wanapanga kumuondoa madarakani al Sisi
Jul 05, 2017 10:06Mamia ya wapinzani wa serikali ya Misri walioko nje ya nchi wamenzisha kampeni ya kuunga mkono harakati ya kumuondoa madarakani Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.
-
Raia 41 wa Misri wafikishwa mahakamani kwa kufanya biashara ya viungo vya binadamu
Jul 04, 2017 23:35Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Misri imewaarifisha mahakamani raia 41 wa nchi hiyo wakiwemo madaktari na wauguzi wanaotuhumiwa kufanya biashara ya viungo vya binadamu.
-
Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar
Jul 04, 2017 03:35Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kuwa anaiunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar.
-
Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar
Jul 04, 2017 03:25Kwa mara nyingine Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Misri wameituhumu Qatar kwamba, inaunga mkono ugaidi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi majirani na kufanya mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin aaga dunia katika jela ya Misri
Jul 02, 2017 03:28Mwakilishi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri (Muslim Brotherhood) ametangaza kuwa kiongozi wa zamani wa harakati hiyo, Mohammed Mahdi Akef ameaga dunia akiwa katika jela ya utawala wa nchi hiyo.
-
Wamisri wafanya maandamano makubwa kupinga kuipa Saudia visiwa vya nchi yao
Jun 25, 2017 23:42Hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ya kutia saini makubaliano ya kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir, imeibua hasira kubwa baina ya raia wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi
Jun 24, 2017 00:10Kituo kimoja cha Kiafrika kimeituhumu serikali ya Misri kuwa inaendelea kuwateka nyara, kuwatesa na kuwaua wapinzani wa kisiasa.
-
Wabunge Misri wapinga makubaliano ya kuikabidhi Saudia visiwa vya nchi yao
Jun 20, 2017 09:31Makumi ya wabunge wa Misri wamepinga makubaliano ya kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vya Misri vya Tiran na Sanafir.
-
Matukio ya karibuni ya kihistoria nchini Misri kufutwa kwenye vitabu vya masomo
Jun 19, 2017 03:27Wizara ya Elimu nchini Misri imesambaza waraka wa kufutwa baadhi ya matukio ya kisiasa na kihistoria katika vitabu vya masomo.