Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yashutumiwa kwa kuwatia mbaroni makumi ya wanachuo wa kigeni

    Misri yashutumiwa kwa kuwatia mbaroni makumi ya wanachuo wa kigeni

    Jul 07, 2017 02:08

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limeishutumu Misri kwa kuwatia mbaroni makumi ya wanachuo Waislamu kutoka China.

  • Wapinzani wa serikali ya Misri wanapanga kumuondoa madarakani al Sisi

    Wapinzani wa serikali ya Misri wanapanga kumuondoa madarakani al Sisi

    Jul 05, 2017 10:06

    Mamia ya wapinzani wa serikali ya Misri walioko nje ya nchi wamenzisha kampeni ya kuunga mkono harakati ya kumuondoa madarakani Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Raia 41 wa Misri wafikishwa mahakamani kwa kufanya biashara ya viungo vya binadamu

    Raia 41 wa Misri wafikishwa mahakamani kwa kufanya biashara ya viungo vya binadamu

    Jul 04, 2017 23:35

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Misri imewaarifisha mahakamani raia 41 wa nchi hiyo wakiwemo madaktari na wauguzi wanaotuhumiwa kufanya biashara ya viungo vya binadamu.

  • Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar

    Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar

    Jul 04, 2017 03:35

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kuwa anaiunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar.

  • Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar

    Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar

    Jul 04, 2017 03:25

    Kwa mara nyingine Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Misri wameituhumu Qatar kwamba, inaunga mkono ugaidi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi majirani na kufanya mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin aaga dunia katika jela ya Misri

    Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin aaga dunia katika jela ya Misri

    Jul 02, 2017 03:28

    Mwakilishi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri (Muslim Brotherhood) ametangaza kuwa kiongozi wa zamani wa harakati hiyo, Mohammed Mahdi Akef ameaga dunia akiwa katika jela ya utawala wa nchi hiyo.

  • Wamisri wafanya maandamano makubwa kupinga kuipa Saudia visiwa vya nchi yao

    Wamisri wafanya maandamano makubwa kupinga kuipa Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 25, 2017 23:42

    Hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ya kutia saini makubaliano ya kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir, imeibua hasira kubwa baina ya raia wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Jun 24, 2017 00:10

    Kituo kimoja cha Kiafrika kimeituhumu serikali ya Misri kuwa inaendelea kuwateka nyara, kuwatesa na kuwaua wapinzani wa kisiasa.

  • Wabunge Misri wapinga makubaliano ya kuikabidhi Saudia visiwa vya nchi yao

    Wabunge Misri wapinga makubaliano ya kuikabidhi Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 20, 2017 09:31

    Makumi ya wabunge wa Misri wamepinga makubaliano ya kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vya Misri vya Tiran na Sanafir.

  • Matukio ya karibuni ya kihistoria nchini Misri kufutwa kwenye vitabu vya masomo

    Matukio ya karibuni ya kihistoria nchini Misri kufutwa kwenye vitabu vya masomo

    Jun 19, 2017 03:27

    Wizara ya Elimu nchini Misri imesambaza waraka wa kufutwa baadhi ya matukio ya kisiasa na kihistoria katika vitabu vya masomo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS