Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Amnesty International yaitaka Misri iache kutekeleza hukumu ya kifo

    Amnesty International yaitaka Misri iache kutekeleza hukumu ya kifo

    Jun 18, 2017 22:57

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limevitaka vyombo vya mahakama nchini Misri viache kutekeleza hukumu ya kunyongwa raia saba wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.

  • Watano wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu, Cairo, Misri

    Watano wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu, Cairo, Misri

    Jun 18, 2017 03:12

    Mripuko mmoja wa bomu uliotokea kusini mwa Cairo, mji mkuu wa Misri umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine wanne.

  • Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Mgogoro wa Qatar wachukua sura mpya, Misri yataka Uturuki iwekewe vikwazo

    Jun 17, 2017 11:06

    Mgogoro ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar umechukua sura mpya baada ya mtandao mmoja wa habari wa nchini Uingereza kuandika kuwa, rais wa Misri ametaka Uturuki iwekewe vikwazo kutokana na kuiunga mkono Qatar.

  • 31 wahukumiwa kifo nchini Misri

    31 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Jun 17, 2017 11:05

    Mahakama moja nchini Misri imewahukumu adhabu ya kifo watu 31 kwa tuhuma za kushiriki katika mauaji ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.

  • Magaidi watatu wauawa katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri

    Magaidi watatu wauawa katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri

    Jun 16, 2017 23:03

    Msemaji wa jeshi la Misri amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kuua magaidi watatu katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Makumi watiwa mbaroni Misri kwa kupinga kukabidhiwa Saudia visiwa vya nchi yao

    Makumi watiwa mbaroni Misri kwa kupinga kukabidhiwa Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 16, 2017 10:54

    Polisi ya Misri imewatia mbaroni makumi ya watu wanaopinga jaribio la serikali ya nchi hiyo ya kutaka kuipa Saudia visiwa vya nchi yao vya Tiran na Sanafir.

  • Misri: Uislamu ni muongozo wa maisha bora, si dini ya mauaji na uharibifu

    Misri: Uislamu ni muongozo wa maisha bora, si dini ya mauaji na uharibifu

    Jun 14, 2017 22:00

    Waziri wa Wakfu wa Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu haina uhusiano wowote na mauaji na jinai zinazofanywa na baadhi ya watu kwa jina la Uislamu, bali dini hiyo ni muongozo wa maisha bora kwa mwanadamu.

  • Wamisri waandamana kupinga kupewa Saudia visiwa viwili vya nchi yao

    Wamisri waandamana kupinga kupewa Saudia visiwa viwili vya nchi yao

    Jun 14, 2017 03:45

    Wananchi wa Misri wamefanya maandamano katika mji mkuu Cairo, kulalamikia uamuzi wa Bunge la hiyo nchi hiyo wa kuidhinisha kupewa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika vya Tiran na Sanafir.

  • Misri yawekwa katika orodha nyeusi ya ILO

    Misri yawekwa katika orodha nyeusi ya ILO

    Jun 08, 2017 22:33

    Shirika la Kazi Duniani (ILO) limeiweka Misri kwenye orodha nyeusi kwa mara ya nne.

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 03:15

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS