Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Jun 04, 2017 02:53

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.

  • Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao

    Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 01, 2017 09:51

    Shakhsia na wasomi 1500 wa Misri wametangaza rasmi upinzani wao kwa uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Misri vya Tiran na Sanafir.

  • Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Jun 01, 2017 09:50

    Wanaharakati nchini Libya wametaka mkuu wa jeshi la nchi hiyo apandishwe kizimbani kwa madai ya kula njama na Misri na kutoheshimu haki ya kujitawala Libya.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    May 31, 2017 10:09

    Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.

  • Algeria yaitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga ndani ya ardhi ya Libya

    Algeria yaitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga ndani ya ardhi ya Libya

    May 30, 2017 11:01

    Algeria imeitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga inayofanya katika eneo la kaskazini mashariki mwa Libya ikisisitiza kuwa hatua hiyo haitotatua mgogoro wa kiusalama unaoikabili Misri.

  • Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa

    Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa

    May 30, 2017 03:25

    Wabunge la Libya wametaka kufuatiliwa katika asasi za kimataifa mashambulizi ya anga ya Misri ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili

    Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili

    May 29, 2017 09:27

    Kundi la Ikhwanul Muslimin lililopigwa marufuku nchini Misri, limelaani mashambulizi ya nchi hiyo huko Libya.

  • Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    May 28, 2017 23:31

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imesema kuwa, kuna uwezekano makundi ya kigaidi yakafanya tena mashambulizi nchini humo, hivyo imevitaka vikosi vya usalama kuchukua hatua kali za kiusalama kukabiliana na jambo hilo.

  • Shambulio la kigaidi nchini Misri

    Shambulio la kigaidi nchini Misri

    May 27, 2017 06:21

    Watu wasiopungua 28 waliuawa nchini Misri na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la jana Ijumaa dhidi ya mabasi mawili yaliyokuwa yamewabeba Wakristo wa Kibti kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Cairo.

  • Ndege za Misri zashambulia maficho ya magaidi nchini Libya

    Ndege za Misri zashambulia maficho ya magaidi nchini Libya

    May 27, 2017 02:12

    Jeshi la Anga la Misri limefanya mashambulizi katika maficho ya magaidi ndani ya ardhi ya Libya baada ya watu wenye silaha kushambulia mabasi mawili yaliyokuwa na Wakristo mkoani al Minya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS