-
Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu
Jun 04, 2017 02:53Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.
-
Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao
Jun 01, 2017 09:51Shakhsia na wasomi 1500 wa Misri wametangaza rasmi upinzani wao kwa uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Misri vya Tiran na Sanafir.
-
Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri
Jun 01, 2017 09:50Wanaharakati nchini Libya wametaka mkuu wa jeshi la nchi hiyo apandishwe kizimbani kwa madai ya kula njama na Misri na kutoheshimu haki ya kujitawala Libya.
-
Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika
May 31, 2017 10:09Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.
-
Algeria yaitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga ndani ya ardhi ya Libya
May 30, 2017 11:01Algeria imeitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga inayofanya katika eneo la kaskazini mashariki mwa Libya ikisisitiza kuwa hatua hiyo haitotatua mgogoro wa kiusalama unaoikabili Misri.
-
Libya yataka mashambulizi ya jeshi la Misri nchini humo kufuatiliwa kimataifa
May 30, 2017 03:25Wabunge la Libya wametaka kufuatiliwa katika asasi za kimataifa mashambulizi ya anga ya Misri ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Ikhwanul Muslimin: Shambulizi la Misri nchini Libya litazidisha uhasama wa nchi mbili
May 29, 2017 09:27Kundi la Ikhwanul Muslimin lililopigwa marufuku nchini Misri, limelaani mashambulizi ya nchi hiyo huko Libya.
-
Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi
May 28, 2017 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imesema kuwa, kuna uwezekano makundi ya kigaidi yakafanya tena mashambulizi nchini humo, hivyo imevitaka vikosi vya usalama kuchukua hatua kali za kiusalama kukabiliana na jambo hilo.
-
Shambulio la kigaidi nchini Misri
May 27, 2017 06:21Watu wasiopungua 28 waliuawa nchini Misri na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la jana Ijumaa dhidi ya mabasi mawili yaliyokuwa yamewabeba Wakristo wa Kibti kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Cairo.
-
Ndege za Misri zashambulia maficho ya magaidi nchini Libya
May 27, 2017 02:12Jeshi la Anga la Misri limefanya mashambulizi katika maficho ya magaidi ndani ya ardhi ya Libya baada ya watu wenye silaha kushambulia mabasi mawili yaliyokuwa na Wakristo mkoani al Minya.