Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri

    Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri

    May 26, 2017 09:35

    Kwa akali watu 28 wameuawa katika shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi lililolenga basi ambalo lililikuwa limewabeba Wakrsito wa Kikhufti kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    May 24, 2017 23:57

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.

  • Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    May 24, 2017 03:21

    Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.

  • Kuendelea kutolewa hukumu za ajabu na idara ya mahakama ya Misri

    Kuendelea kutolewa hukumu za ajabu na idara ya mahakama ya Misri

    May 22, 2017 02:16

    Katika hali ambayo idara ya mahakama ya Misri imemtoa hatiani dikteta Hosni Mubarak, rais wa zamani wa nchi hiyo kwa makosa yote aliyofanya yakiwemo hata mashtaka ya kuua watu wakati wa mapinduzi ya wananchi mwaka 2011, Mahakama Kuu ya Misri imemuweka kwenye orodha ya magaidi Muhammad Morsi, rais wa kwanza wa nchi hiyo aliyechaguliwa na wananchi na baadaye kupinduliwa na jeshi.

  • 9 wauawa katika mapigano kaskazini mwa Misri

    9 wauawa katika mapigano kaskazini mwa Misri

    May 21, 2017 03:05

    Watu tisa wameuawa katika mapigano yaliyotokea jana kwenye Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri.

  • Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    May 12, 2017 08:40

    Serikali ya Misri imechukua hatua kali zaidi za usalama katika eneo linalozunguka bunge kufuatia kuongezeka vitisho dhidi ya wabunge wa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela

    Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela

    May 09, 2017 03:42

    Mahakama ya Misiri imemhukumu kifungo cha maisha jela Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo pamoja na wanachama wengine wawili wa harakati hiyo iliyopigwa marufuku.

  • Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri

    Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri

    May 08, 2017 23:50

    Vikosi vya mpakani vya majeshi ya Sudan na Ethiopia katika mpaka wa pamoja na Misri vimewekwa katika hali ya tahadhari kwa lengo la kuzima shambulio linaloweza kufanywa na nchi hiyo dhidi ya bwana la Ethiopia la Al-Nahdhah (Renaissance).

  • Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel

    Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel

    May 05, 2017 02:45

    Balozi wa Misri katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League, ametangaza mshikamano na wafungwa wa Kipalestina waliogoma kula katika jela za utawala katili wa Kizayuni wa Israel.

  • Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri

    May 01, 2017 23:55

    Rais Abdulfattah as-Sisi, wa Misri amesema kwamba hatari ya ugaidi ni changamoto kubwa zaidi kati ya changamoto zinazoikabili nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS