-
Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri
May 26, 2017 09:35Kwa akali watu 28 wameuawa katika shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi lililolenga basi ambalo lililikuwa limewabeba Wakrsito wa Kikhufti kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan
May 24, 2017 23:57Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.
-
Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi
May 24, 2017 03:21Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.
-
Kuendelea kutolewa hukumu za ajabu na idara ya mahakama ya Misri
May 22, 2017 02:16Katika hali ambayo idara ya mahakama ya Misri imemtoa hatiani dikteta Hosni Mubarak, rais wa zamani wa nchi hiyo kwa makosa yote aliyofanya yakiwemo hata mashtaka ya kuua watu wakati wa mapinduzi ya wananchi mwaka 2011, Mahakama Kuu ya Misri imemuweka kwenye orodha ya magaidi Muhammad Morsi, rais wa kwanza wa nchi hiyo aliyechaguliwa na wananchi na baadaye kupinduliwa na jeshi.
-
9 wauawa katika mapigano kaskazini mwa Misri
May 21, 2017 03:05Watu tisa wameuawa katika mapigano yaliyotokea jana kwenye Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri.
-
Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa
May 12, 2017 08:40Serikali ya Misri imechukua hatua kali zaidi za usalama katika eneo linalozunguka bunge kufuatia kuongezeka vitisho dhidi ya wabunge wa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela
May 09, 2017 03:42Mahakama ya Misiri imemhukumu kifungo cha maisha jela Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo pamoja na wanachama wengine wawili wa harakati hiyo iliyopigwa marufuku.
-
Majeshi ya Ethiopia na Sudan yawekwa katika hali ya tahadhari kukabiliana na shambulio tarajiwa la Misri
May 08, 2017 23:50Vikosi vya mpakani vya majeshi ya Sudan na Ethiopia katika mpaka wa pamoja na Misri vimewekwa katika hali ya tahadhari kwa lengo la kuzima shambulio linaloweza kufanywa na nchi hiyo dhidi ya bwana la Ethiopia la Al-Nahdhah (Renaissance).
-
Balozi wa Misri katika Arab League atangaza mshikamano na Wapalestina wanaosusia kula katika jela za Israel
May 05, 2017 02:45Balozi wa Misri katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League, ametangaza mshikamano na wafungwa wa Kipalestina waliogoma kula katika jela za utawala katili wa Kizayuni wa Israel.
-
Hatari ya ugaidi, changamoto kubwa zaidi ya Misri
May 01, 2017 23:55Rais Abdulfattah as-Sisi, wa Misri amesema kwamba hatari ya ugaidi ni changamoto kubwa zaidi kati ya changamoto zinazoikabili nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.