-
Misri yamuhukumu kifo kiongozi wa Ikhwanul Muslimin
Apr 30, 2017 23:37Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kifo kiongozi wa harakati ya Kiislamu iliyopigwa marufuku nchini humo ya Ikhwanul Muslimin.
-
Safari ya Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Misri
Apr 29, 2017 03:19Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Ijumaa ya jana alianza safari ya siku mbili nchini Misri. Safari ya Papa Francis nchini Misri inafanyika katika muendelezo wa stratejia ya mazungumzo na Uislamu wa wastani ambayo yalianza mwaka uliopita huko Roma kwa kuhudhuriwa na Ahmad Tayyib, Sheikh Mkuu wa al-Azhar.
-
Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake
Apr 25, 2017 01:50Mfalme Salaman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia na Rais Abdul Fattah al Sisi wamekuatana na kufanya mazungumzo ambayo yamehusu suala la kuboresha uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.
-
Wafuasi 20 wa Mursi wahukumiwa adhabu ya kifo Misri
Apr 24, 2017 23:29Mahakama Kuu ya Misri imewahukumu wafuasi 20 wa rais aliyeondolewa madarakani wa nchi hiyo adhabu ya kifo kwa madai kwamba wamepatikana na hatia ya kuua polisi 13.
-
Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi
Apr 21, 2017 11:26Sudan imewasilisha malalamiko yake dhidi ya Misri katika Umoja wa Mataifa kuhusu umiliki wa maeneo ya Hala'ib na Shalatiin.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani atembelea Misri
Apr 20, 2017 23:43James Mattis, waziri wa ulinzi wa Marekani ametembelea Misri kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kijeshi na kiusalama wa nchi hizo mbili.
-
Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri
Apr 20, 2017 09:35Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.
-
Safari ya Al-Hakim mjini Cairo; ustawishaji wa kimalengo wa uhusiano wa Misri na Iraq
Apr 19, 2017 02:40Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq jana Jumanne ya tarehe 18 Aprili alielekea nchini Misri kwa mwaliko rasmi wa viongozi wa nchi hiyo.
-
Misri: Hatujatuma askari wetu nchini Yemen
Apr 17, 2017 03:45Serikali ya Misri imekadhibisha madai yaliyotolewa na Msemaji wa Muungano wa Kichokozi wa Saudia dhidi ya Yemen kwamba Cairo imetuma askari wake nchini Yemen.
-
Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia
Apr 14, 2017 11:42Katibu Mkuu wa Arab League Ahmed Aboul Gheit amesema kuwa, ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia kuhusiana na tofauti za nchi mbili juu ya ujenzi wa bwawa la al-Nahdha (Renaissance) katika mto Nile.