Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yamuhukumu kifo kiongozi wa Ikhwanul Muslimin

    Misri yamuhukumu kifo kiongozi wa Ikhwanul Muslimin

    Apr 30, 2017 23:37

    Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kifo kiongozi wa harakati ya Kiislamu iliyopigwa marufuku nchini humo ya Ikhwanul Muslimin.

  • Safari ya Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Misri

    Safari ya Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Misri

    Apr 29, 2017 03:19

    Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Ijumaa ya jana alianza safari ya siku mbili nchini Misri. Safari ya Papa Francis nchini Misri inafanyika katika muendelezo wa stratejia ya mazungumzo na Uislamu wa wastani ambayo yalianza mwaka uliopita huko Roma kwa kuhudhuriwa na Ahmad Tayyib, Sheikh Mkuu wa al-Azhar.

  • Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake

    Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake

    Apr 25, 2017 01:50

    Mfalme Salaman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia na Rais Abdul Fattah al Sisi wamekuatana na kufanya mazungumzo ambayo yamehusu suala la kuboresha uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.

  • Wafuasi 20 wa Mursi wahukumiwa adhabu ya kifo Misri

    Wafuasi 20 wa Mursi wahukumiwa adhabu ya kifo Misri

    Apr 24, 2017 23:29

    Mahakama Kuu ya Misri imewahukumu wafuasi 20 wa rais aliyeondolewa madarakani wa nchi hiyo adhabu ya kifo kwa madai kwamba wamepatikana na hatia ya kuua polisi 13.

  • Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi

    Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi

    Apr 21, 2017 11:26

    Sudan imewasilisha malalamiko yake dhidi ya Misri katika Umoja wa Mataifa kuhusu umiliki wa maeneo ya Hala'ib na Shalatiin.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani atembelea Misri

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani atembelea Misri

    Apr 20, 2017 23:43

    James Mattis, waziri wa ulinzi wa Marekani ametembelea Misri kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kijeshi na kiusalama wa nchi hizo mbili.

  • Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Apr 20, 2017 09:35

    Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.

  • Safari ya Al-Hakim mjini Cairo; ustawishaji wa kimalengo wa uhusiano wa Misri na Iraq

    Safari ya Al-Hakim mjini Cairo; ustawishaji wa kimalengo wa uhusiano wa Misri na Iraq

    Apr 19, 2017 02:40

    Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq jana Jumanne ya tarehe 18 Aprili alielekea nchini Misri kwa mwaliko rasmi wa viongozi wa nchi hiyo.

  • Misri: Hatujatuma askari wetu nchini Yemen

    Misri: Hatujatuma askari wetu nchini Yemen

    Apr 17, 2017 03:45

    Serikali ya Misri imekadhibisha madai yaliyotolewa na Msemaji wa Muungano wa Kichokozi wa Saudia dhidi ya Yemen kwamba Cairo imetuma askari wake nchini Yemen.

  • Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Aboul Gheit: Ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia

    Apr 14, 2017 11:42

    Katibu Mkuu wa Arab League Ahmed Aboul Gheit amesema kuwa, ni baidi Misri kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ethiopia kuhusiana na tofauti za nchi mbili juu ya ujenzi wa bwawa la al-Nahdha (Renaissance) katika mto Nile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS