Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yakosoa hatua ya baadhi ya nchi katika kuunga mkono ugaidi

    Misri yakosoa hatua ya baadhi ya nchi katika kuunga mkono ugaidi

    Apr 12, 2017 09:41

    Waziri Mkuu wa Misri amezituhumu baadhi ya nchi waungaji mkono wakubwa wa makundi ya kigaidi.

  • Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Apr 11, 2017 10:52

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri siku ya Jumapili iliyopita ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku akisisitiza kuwa, lengo la magaidi ni kuzusha mifarakano ya kidini duniani.

  • Siku ya Umwagaji Damu nchini Misri

    Siku ya Umwagaji Damu nchini Misri

    Apr 10, 2017 08:33

    Jumapili ya jana Misri ilikumbwa na hujuma za kigaidi zilizojumuisha milipuko minne ambapo watu karibu 47waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Makanisa Misri

    Apr 10, 2017 03:06

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri hapo jana, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Rais wa Misri alitaka jeshi kulinda usalama wa maeneo muhimu

    Rais wa Misri alitaka jeshi kulinda usalama wa maeneo muhimu

    Apr 10, 2017 02:38

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kuwekwa haraka vikosi vya ulinzi katika maeneo muhimu kwa ajili ya kulisaidia jeshi la polisi katika kulinda usalama wa miundombinu muhimu kwenye mikoa yote ya nchi hiyo.

  • Hizbullah na Hamas zalaani hujuma za kigaidi dhidi ya makanisa huko Misri

    Hizbullah na Hamas zalaani hujuma za kigaidi dhidi ya makanisa huko Misri

    Apr 09, 2017 23:48

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imelaani vikali miripuko ya kigaidi katika makanisa mawili nchini Misri iliyosababisha mauaji, na kwamba hujuma hizo dhidi ya Wakristo ni za kishenzi.

  • Wimbi la mlipuko wa mabomu dhidi ya makanisa laua makumi nchini Misri

    Wimbi la mlipuko wa mabomu dhidi ya makanisa laua makumi nchini Misri

    Apr 09, 2017 09:27

    Watu wasiopungua 140 wameuawa na kujeruhiwa katika wimbi la mashambulizi ya mabomu yaliyolenga makanisa nchini Misri hii leo.

  • Mahakama ya Misri yatengua uamuzi uliozuia kutolewa visiwa vya nchi hiyo kwa Saudia

    Mahakama ya Misri yatengua uamuzi uliozuia kutolewa visiwa vya nchi hiyo kwa Saudia

    Apr 03, 2017 00:08

    Mahakama moja ya Misri imetengua uamuzi uliotolewa miezi kadhaa iliyopita na mahakama nyingine ya nchi hiyo ikipinga kutolewa visiwa viwili vya nchi hiyo kwa utawala wa Saudi Arabia

  • Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Apr 01, 2017 11:55

    Mufti wa Misri amesema kuwa asilimia 90 ya hukumu na fatwa za watu wanaofurutu ada zinawachochea watu kwenda kinyume na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na kuzusha mifarakano baina ya Waislamu na Wakristo.

  • Magaidi watano wauawa, 16 watiwa mbaroni kaskazini mwa Misri

    Magaidi watano wauawa, 16 watiwa mbaroni kaskazini mwa Misri

    Mar 26, 2017 09:11

    Jeshi la Misri leo limetoa taarifa na kusema kuwa, limefanikiwa kuua magaidi watano na kuwatia mbaroni wengine 16 katika operesheni maalumu iliyofanywa na jeshi hilo kaskazini mwa Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS