-
Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa katika mripuko wa bomu Sinai
Mar 26, 2017 02:47Wanajeshi wanne wa Misri wameuawa baada ya gari lao kulengwa kwa bomu katika Peninsula ya Sinai.
-
Askari 10 wa Misri wauawa katika hujuma ya bomu Sinai
Mar 24, 2017 03:06Wanajeshi zaidi ya 10 wa Misri wameuawa baada ya gari walimokuwa kulengwa kwa shambulio la bomu katikati mwa Peninsula ya Sinai.
-
Magaidi watano waangamizwa kaskazini mwa Misri
Mar 23, 2017 03:11Magaidi wasiopungua watano wameuliwa na wanajeshi wa Misri katika eneo la Jabal al Hilal, kusini mwa mji wa al Arish, katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Rais wa Misri akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Cairo katika anga ya hitilafu
Mar 21, 2017 04:04Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri huko mjini Cairo, huku kukiwepo na tofauti baina yao.
-
Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin
Mar 13, 2017 03:27Mkuu wa harakati ya al Nahdha ya Tunisia amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kulipatanisha kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na serikali ya nchi hiyo.
-
Watu nusu milioni kuongezeka Cairo, Misri mwaka huu
Mar 12, 2017 14:59Idadi ya watu katika mji mkuu wa Misri, Cairo, itaongezkea kwa nusu milioni mwaka huu, hili likiwa ni ongezeko kubwa zaidi la idadi ya watu mjini duniani, jambo ambalo limezidisha mashinikizo katika uchumi wa Misri ambao ungali unajaribu kujikwamua kutoka katika mgogoro wa kisiasa wa miaka sita sasa.
-
Misri yasisitiza udharura wa kurejea Syria katika Arab League
Mar 11, 2017 12:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa, mgogoro wa Syria unakaribia kupata ufumbuzi wa kisiasa na kusisitiza kuwa upo udharura wa kurejea nchi hiyo katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate
Mar 09, 2017 04:22Raia wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya serikali katika mikoa tofauti ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya kuwekwa mgao katika upatikanaji wa mikate nchini humo.
-
Hakuna anayesalimika na mashambulizi ya magaidi nchini Misri
Mar 07, 2017 01:01Makumi ya familia za Wakristo zimelazimika kukimbia makazi yao katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri kutokana na mashambulizi ya watu wenye silaha.
-
Al-Sisi: Misri inapongeza juhudi za jeshi la Syria katika kuwatokomeza magaidi
Mar 03, 2017 00:40Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, sambamba na nchi yake kufungamana na misingi ya kutoingilia masuala ya ndani ya Syria, pia inaunga mkono juhudi za jeshi la nchi hiyo katika kuwatokomeza magaidi.