Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    Mar 01, 2017 03:48

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametetea stratijia na mikakati ya serikali yake katika kupambana na magenge ya kigaidi kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais

    Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais

    Feb 26, 2017 23:18

    Wawakilishi wa Bunge la Misri wamesema kuwa, wanataka kipindi cha uongozi wa Rais wa nchi hiyo kiongezwe.

  • kuongezeka ushirikiano baina ya Uingereza na Misri

    kuongezeka ushirikiano baina ya Uingereza na Misri

    Feb 26, 2017 23:14

    Ikiwa ni katika juhudi za Uingereza za kupanua mahusiano yake na nchi nyingine, Boris Johnson, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amefanya safari nchini Misri kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.

  • Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Feb 24, 2017 04:41

    Serikali ya Misri imesema, kuna wajibu wa kufanyika juhudi za kutosha za kuwasaidia Walibya kutatua migogoro yao, lakini bila ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    Feb 22, 2017 23:33

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.

  • Mwanachuoni kipofu wa Misri afia gerezani nchini Marekani

    Mwanachuoni kipofu wa Misri afia gerezani nchini Marekani

    Feb 19, 2017 01:15

    Sheikh Omar Abdu Rahman, mwanachuoni mashuhuri asiye na uwezo wa kuona mzaliwa wa Misri amefariki dunia akiwa gerezani nchini Marekani.

  • UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    Feb 16, 2017 12:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri

    Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri

    Feb 13, 2017 23:47

    Dikteta aliyepinduliwa madarakani huko Misri amesisitiza kuwa visiwa vya Tiran na Sanafir ni milki ya nchi hiyo.

  • Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi

    Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi

    Feb 13, 2017 11:40

    Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani

    Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani

    Feb 13, 2017 00:51

    Idara Kuu inayohusika na Fatwa za Kiislamu ya Misri (Darul Iftaa) imekosoa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani na kuchomwa moto vituo vya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS