-
El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi
Mar 01, 2017 03:48Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametetea stratijia na mikakati ya serikali yake katika kupambana na magenge ya kigaidi kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais
Feb 26, 2017 23:18Wawakilishi wa Bunge la Misri wamesema kuwa, wanataka kipindi cha uongozi wa Rais wa nchi hiyo kiongezwe.
-
kuongezeka ushirikiano baina ya Uingereza na Misri
Feb 26, 2017 23:14Ikiwa ni katika juhudi za Uingereza za kupanua mahusiano yake na nchi nyingine, Boris Johnson, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amefanya safari nchini Misri kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.
-
Misri yataka mikono ya kigeni isiingilie masuala ya ndani ya Libya
Feb 24, 2017 04:41Serikali ya Misri imesema, kuna wajibu wa kufanyika juhudi za kutosha za kuwasaidia Walibya kutatua migogoro yao, lakini bila ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
UN yazishukuru nchi jirani na Libya
Feb 22, 2017 23:33Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.
-
Mwanachuoni kipofu wa Misri afia gerezani nchini Marekani
Feb 19, 2017 01:15Sheikh Omar Abdu Rahman, mwanachuoni mashuhuri asiye na uwezo wa kuona mzaliwa wa Misri amefariki dunia akiwa gerezani nchini Marekani.
-
UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 16, 2017 12:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri
Feb 13, 2017 23:47Dikteta aliyepinduliwa madarakani huko Misri amesisitiza kuwa visiwa vya Tiran na Sanafir ni milki ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi
Feb 13, 2017 11:40Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani
Feb 13, 2017 00:51Idara Kuu inayohusika na Fatwa za Kiislamu ya Misri (Darul Iftaa) imekosoa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani na kuchomwa moto vituo vya Kiislamu.