-
Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri
Feb 13, 2017 23:47Dikteta aliyepinduliwa madarakani huko Misri amesisitiza kuwa visiwa vya Tiran na Sanafir ni milki ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi
Feb 13, 2017 11:40Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani
Feb 13, 2017 00:51Idara Kuu inayohusika na Fatwa za Kiislamu ya Misri (Darul Iftaa) imekosoa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani na kuchomwa moto vituo vya Kiislamu.
-
Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir
Feb 12, 2017 03:41Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 14 katikati mwa Sinai
Feb 06, 2017 11:33Jeshi la Misri limewaangamiza magaidi 14 katika mkoa wa Sinai na kuwatia mbaroni wengine kumi kufuatia operesheni kali ya jeshji la nchi hiyo katika maeneo hayo.
-
Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Feb 05, 2017 23:11Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ameongeza muda wa ushiriki wa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita huko Yemen vinavyoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.
-
Waasi Sudan Kusini wadai Misri imewashambulia
Feb 05, 2017 03:56Waasi Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imetekeelza hujuma za angani katika ngome zao huku wakuu wa Cairo wakikanusha kufanya hivyo.
-
Waasi Sudan Kusini waituhumu Misri kuwa imeshambulia ngome zao
Feb 05, 2017 00:58Waasi wa Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imeshambulia kwa mabomu maeneo na ngome zao na kutahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya kieneo.
-
Mkakati wa Misri wa kuasisi Umoja wa kaskazini mwa Afrika
Feb 05, 2017 00:57Misri imesema inataka kuanzisha Umoja wa Kaskazini mwa Afrika.
-
Misri yaanzisha mpango wa kuunda Jumuiya ya "Kaskazini mwa Afrika"
Feb 03, 2017 04:10Misri imetaka ianzishwe "Jumuiya ya Kaskazini mwa Afrika".