-
Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir
Feb 12, 2017 03:41Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 14 katikati mwa Sinai
Feb 06, 2017 11:33Jeshi la Misri limewaangamiza magaidi 14 katika mkoa wa Sinai na kuwatia mbaroni wengine kumi kufuatia operesheni kali ya jeshji la nchi hiyo katika maeneo hayo.
-
Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Feb 05, 2017 23:11Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ameongeza muda wa ushiriki wa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita huko Yemen vinavyoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.
-
Waasi Sudan Kusini wadai Misri imewashambulia
Feb 05, 2017 03:56Waasi Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imetekeelza hujuma za angani katika ngome zao huku wakuu wa Cairo wakikanusha kufanya hivyo.
-
Waasi Sudan Kusini waituhumu Misri kuwa imeshambulia ngome zao
Feb 05, 2017 00:58Waasi wa Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imeshambulia kwa mabomu maeneo na ngome zao na kutahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya kieneo.
-
Mkakati wa Misri wa kuasisi Umoja wa kaskazini mwa Afrika
Feb 05, 2017 00:57Misri imesema inataka kuanzisha Umoja wa Kaskazini mwa Afrika.
-
Misri yaanzisha mpango wa kuunda Jumuiya ya "Kaskazini mwa Afrika"
Feb 03, 2017 04:10Misri imetaka ianzishwe "Jumuiya ya Kaskazini mwa Afrika".
-
Mahakama ya Misri yawahukumu adhabu ya kifo raia wawilli kwa tuhuma za ugaidi
Feb 02, 2017 10:35Mahakama ya jinai nchini Misri imewahukumu adhabu ya kifo raia wawili wa nchi hiyo kwa kushirikiana na genge la kigaidi la 'Al-Warraq' ambalo limekuwa likihusika na mauaji dhidi ya maafisa wa polisi wa nchi hiyo.
-
Daesh yadai imeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri, Sinai
Feb 01, 2017 04:08Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limedai kwamba limeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri kaskazini mwa eneo la Sinai.
-
Misri yalaani mpango mpya wa Israel wa kujenga vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi
Jan 25, 2017 11:43Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imelaani hatua ya utawala haramu wa Israel ya kupasisha mpango mpya wa ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni katika mji wa Baytul Muqaddas.