-
Baraza la Mapinduzi la Misri lawataka wananchi wasiitii serikali
Jan 23, 2017 23:26Baraza la Mapinduzi la Misri limewataka wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wasiitii serikali sambamba na maadhimisho ya mapinduzi ya wananchi ya Januari 25, 2011 yaliyomngóa madarakani dikteta Hosni Mubarak.
-
Misri yarefusha muda wa uingiliaji wake kijeshi Yemen
Jan 23, 2017 03:31Ofisi ya rais wa Misri ilitangaza jana Jumapili kwamba Baraza la Ulinzi wa Kitaifa la nchi hiyo limerefusha muda wa askari jeshi wa nchi hiyo kuendelea kuhudumu katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.
-
Matokeo ya wakuu wa Misri kueneza chuki dhidi ya Ikhwanul Muslimin
Jan 20, 2017 01:13Mahakama ya Misri imetangaza orodha mpya ya mamia ya watu ambao wametajwa kuwa wafuasi wa makundi ya kigaidi.
-
Abdel Fattah el-Sisi katika hatua za kuipiga msasa serikali ya Misri
Jan 18, 2017 23:18Hivi karibuni Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri alitangaza kuwa, hivi karibuni ataifanyia marekebisho serikali yake.
-
Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi
Jan 17, 2017 03:44Kwa akali askari polisi wanane wa Misri wameuawa kwa kufyatuliwa risasi na kundi la watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika kituo cha upekuzi cha Naqb, mkoa wa New Valley usiku wa kuamkia leo.
-
Mahakama ya Misri yatengua agizo la Rais Al-Sisi la kuikabidhi Saudia visiwa vyake viwili
Jan 16, 2017 11:24Mahakama kuu ya Misri imetoa hukumu ya kuheshimiwa ardhi ya nchi hiyo kuhusiana na visiwa viwili vya Tiran na Sanafir na kadhalika kuchunguzwa upya nafasi ya maji ya nchi hiyo na Saudia.
-
Waasi wenye silaha wauawa na jeshi la Misri
Jan 14, 2017 10:35Watu kadhaa wenye silaha wameuawa na jeshi la Misri katika mkoa wa Sinai kaskazini mwa nchio hiyo.
-
Watu 9 wauawa katika mripuko wa kigaidi, kaskazini mashariki mwa Misri
Jan 09, 2017 12:51Mripuko wa bomu uliotokea kwenye eneo la al Arish katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri, umeuawa na kujeruhi watu wasiopungua tisa.
-
Mufti Mkuu wa Misri achaguliwa tena na jopo la maulamaa
Jan 09, 2017 01:04Jopo la Maulamaa wa Misri kwa mara nyingine tena wamemchagua Shawki Abdulkareem Ibrahim Allam kuwa Mufti Mkuu wa nchi hiyo.
-
Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu
Jan 07, 2017 23:43Wapinzani wa mpango wa serikali ya Misri wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir vya Bahari Nyekundu wamezidi kuonesha hasira zao na wameipa Cairo muda maalumu kuhakikisha imeachana na mpango wake huo.