Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Baraza la Mapinduzi la Misri lawataka wananchi wasiitii serikali

    Baraza la Mapinduzi la Misri lawataka wananchi wasiitii serikali

    Jan 23, 2017 23:26

    Baraza la Mapinduzi la Misri limewataka wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wasiitii serikali sambamba na maadhimisho ya mapinduzi ya wananchi ya Januari 25, 2011 yaliyomngóa madarakani dikteta Hosni Mubarak.

  • Misri yarefusha muda wa uingiliaji wake kijeshi Yemen

    Misri yarefusha muda wa uingiliaji wake kijeshi Yemen

    Jan 23, 2017 03:31

    Ofisi ya rais wa Misri ilitangaza jana Jumapili kwamba Baraza la Ulinzi wa Kitaifa la nchi hiyo limerefusha muda wa askari jeshi wa nchi hiyo kuendelea kuhudumu katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.

  • Matokeo ya wakuu wa Misri kueneza chuki dhidi ya Ikhwanul Muslimin

    Matokeo ya wakuu wa Misri kueneza chuki dhidi ya Ikhwanul Muslimin

    Jan 20, 2017 01:13

    Mahakama ya Misri imetangaza orodha mpya ya mamia ya watu ambao wametajwa kuwa wafuasi wa makundi ya kigaidi.

  • Abdel Fattah el-Sisi katika hatua za kuipiga msasa serikali ya Misri

    Abdel Fattah el-Sisi katika hatua za kuipiga msasa serikali ya Misri

    Jan 18, 2017 23:18

    Hivi karibuni Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri alitangaza kuwa, hivi karibuni ataifanyia marekebisho serikali yake.

  • Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Jan 17, 2017 03:44

    Kwa akali askari polisi wanane wa Misri wameuawa kwa kufyatuliwa risasi na kundi la watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika kituo cha upekuzi cha Naqb, mkoa wa New Valley usiku wa kuamkia leo.

  • Mahakama ya Misri yatengua agizo la Rais Al-Sisi la kuikabidhi Saudia visiwa vyake viwili

    Mahakama ya Misri yatengua agizo la Rais Al-Sisi la kuikabidhi Saudia visiwa vyake viwili

    Jan 16, 2017 11:24

    Mahakama kuu ya Misri imetoa hukumu ya kuheshimiwa ardhi ya nchi hiyo kuhusiana na visiwa viwili vya Tiran na Sanafir na kadhalika kuchunguzwa upya nafasi ya maji ya nchi hiyo na Saudia.

  • Waasi wenye silaha wauawa na jeshi la Misri

    Waasi wenye silaha wauawa na jeshi la Misri

    Jan 14, 2017 10:35

    Watu kadhaa wenye silaha wameuawa na jeshi la Misri katika mkoa wa Sinai kaskazini mwa nchio hiyo.

  • Watu 9 wauawa katika mripuko wa kigaidi, kaskazini mashariki mwa Misri

    Watu 9 wauawa katika mripuko wa kigaidi, kaskazini mashariki mwa Misri

    Jan 09, 2017 12:51

    Mripuko wa bomu uliotokea kwenye eneo la al Arish katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri, umeuawa na kujeruhi watu wasiopungua tisa.

  • Mufti Mkuu wa Misri achaguliwa tena na jopo la maulamaa

    Mufti Mkuu wa Misri achaguliwa tena na jopo la maulamaa

    Jan 09, 2017 01:04

    Jopo la Maulamaa wa Misri kwa mara nyingine tena wamemchagua Shawki Abdulkareem Ibrahim Allam kuwa Mufti Mkuu wa nchi hiyo.

  • Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Jan 07, 2017 23:43

    Wapinzani wa mpango wa serikali ya Misri wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir vya Bahari Nyekundu wamezidi kuonesha hasira zao na wameipa Cairo muda maalumu kuhakikisha imeachana na mpango wake huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS