Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Mahakama ya Misri yawahukumu adhabu ya kifo raia wawilli kwa tuhuma za ugaidi

    Mahakama ya Misri yawahukumu adhabu ya kifo raia wawilli kwa tuhuma za ugaidi

    Feb 02, 2017 10:35

    Mahakama ya jinai nchini Misri imewahukumu adhabu ya kifo raia wawili wa nchi hiyo kwa kushirikiana na genge la kigaidi la 'Al-Warraq' ambalo limekuwa likihusika na mauaji dhidi ya maafisa wa polisi wa nchi hiyo.

  • Daesh yadai imeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri, Sinai

    Daesh yadai imeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri, Sinai

    Feb 01, 2017 04:08

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limedai kwamba limeua na kujeruhi wanajeshi 20 wa Misri kaskazini mwa eneo la Sinai.

  • Misri yalaani mpango mpya wa Israel wa kujenga vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    Misri yalaani mpango mpya wa Israel wa kujenga vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    Jan 25, 2017 11:43

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imelaani hatua ya utawala haramu wa Israel ya kupasisha mpango mpya wa ujenzi wa vitongoji vya Wazayuni katika mji wa Baytul Muqaddas.

  • Baraza la Mapinduzi la Misri lawataka wananchi wasiitii serikali

    Baraza la Mapinduzi la Misri lawataka wananchi wasiitii serikali

    Jan 23, 2017 23:26

    Baraza la Mapinduzi la Misri limewataka wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wasiitii serikali sambamba na maadhimisho ya mapinduzi ya wananchi ya Januari 25, 2011 yaliyomngóa madarakani dikteta Hosni Mubarak.

  • Misri yarefusha muda wa uingiliaji wake kijeshi Yemen

    Misri yarefusha muda wa uingiliaji wake kijeshi Yemen

    Jan 23, 2017 03:31

    Ofisi ya rais wa Misri ilitangaza jana Jumapili kwamba Baraza la Ulinzi wa Kitaifa la nchi hiyo limerefusha muda wa askari jeshi wa nchi hiyo kuendelea kuhudumu katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.

  • Matokeo ya wakuu wa Misri kueneza chuki dhidi ya Ikhwanul Muslimin

    Matokeo ya wakuu wa Misri kueneza chuki dhidi ya Ikhwanul Muslimin

    Jan 20, 2017 01:13

    Mahakama ya Misri imetangaza orodha mpya ya mamia ya watu ambao wametajwa kuwa wafuasi wa makundi ya kigaidi.

  • Abdel Fattah el-Sisi katika hatua za kuipiga msasa serikali ya Misri

    Abdel Fattah el-Sisi katika hatua za kuipiga msasa serikali ya Misri

    Jan 18, 2017 23:18

    Hivi karibuni Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri alitangaza kuwa, hivi karibuni ataifanyia marekebisho serikali yake.

  • Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Jan 17, 2017 03:44

    Kwa akali askari polisi wanane wa Misri wameuawa kwa kufyatuliwa risasi na kundi la watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika kituo cha upekuzi cha Naqb, mkoa wa New Valley usiku wa kuamkia leo.

  • Mahakama ya Misri yatengua agizo la Rais Al-Sisi la kuikabidhi Saudia visiwa vyake viwili

    Mahakama ya Misri yatengua agizo la Rais Al-Sisi la kuikabidhi Saudia visiwa vyake viwili

    Jan 16, 2017 11:24

    Mahakama kuu ya Misri imetoa hukumu ya kuheshimiwa ardhi ya nchi hiyo kuhusiana na visiwa viwili vya Tiran na Sanafir na kadhalika kuchunguzwa upya nafasi ya maji ya nchi hiyo na Saudia.

  • Waasi wenye silaha wauawa na jeshi la Misri

    Waasi wenye silaha wauawa na jeshi la Misri

    Jan 14, 2017 10:35

    Watu kadhaa wenye silaha wameuawa na jeshi la Misri katika mkoa wa Sinai kaskazini mwa nchio hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS