-
Kiongozi wa Serikali ajiua kwa kusailiwa nchini Misri
Jan 02, 2017 23:01Duru za habari za Misri zimetangaza habari ya kujiua Katibu Mkuu Mstaafu wa Baraza la Serikali ya nchi hiyo baada ya kutiwa mbaroni na maafisa wa Serikali.
-
Harakati ya Aprili 6 yawataka Wamisri kupinga uamuzi wa al Sisi wa kugawa visiwa vya Tiran, Sanafir
Jan 02, 2017 02:51Harakati ya Aprili 6 nchini Misri imewataka wananchi wa nchi hiyo kusimama na kupinga uamuzi wa serikali ya Abdul Fattah al Sisi wa kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir.
-
Wanajeshi 2 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu Sinai
Jan 01, 2017 04:00Kwa akali askari 2 wa Misri wameuawa katika shambulio la bomu katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo ya Afrika.
-
Serikali ya Misri yapitisha mpango wa kuipatia Saudia visiwa
Dec 30, 2016 04:14Ripoti kutoka Misri zinaeleza kuwa licha ya malalamiko ya wananchi na upinzani wa mahakama, serikali ya nchi hiyo imepitisha mpango wa kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir. Duru za habari za Misri zimetangaza kuwa serikali imeidhinisha mpango huo na tayari imeshaupeleka bungeni.
-
Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi
Dec 29, 2016 11:16Duru za usalama nchini Misri zimetangaza habari ya uwezekano wa kuvamiwa nchi hiyo na wimbi la magaidi kutoka nchi nyingine, suala ambalo limezitia hofu nyoyo za wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Misri yaituhumu televisheni ya al Jazeera ya Qatar kuwa inaeneza fitna
Dec 26, 2016 03:42Serikali ya Misri imesema kuwa, mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha al Jazeera cha Qatar ametiwa mbaroni kutokana na kueneza fitna.
-
'Misri haikushauriana na Palestina kuhusu kutowasilisha UN rasimu ya azimio dhidi ya Israel'
Dec 23, 2016 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametangaza kuwa, kwa ombi la Misri, upigaji kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa rasimu ya azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni umeakhirishwa.
-
Trump aishurutisha Misri kuakhirisha azimio la UN dhidi ya Israel
Dec 23, 2016 12:54Rais mteule wa Marekani amempigia simu Rais wa Misri na kuitaka Cairo iakhihirshe uwasilishaji wa rasimu ya azimio kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Misri yailaumu vikali Qatar, (P) GCC yailalamikia serikali ya Cairo
Dec 17, 2016 00:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetoa taarifa ya kuilaumu tena Qatar na kuituhumu kuwa ilihusika katika tukio la kigaidi la mripuko uliotokea kwenye kanisa la Othodoksi la Saint Mark la Waqibti katika mji mkuu Cairo.
-
Ushahidi waonesha: Ndege ya Misri iliangushwa na magaidi
Dec 16, 2016 00:19Kuna uwezekano mkubwa kwamba, ndege ya Misri iliyoanguka mapema mwa mwaka huu na kuua makumi ya watu ililipuliwa na magaidi.