-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri
Dec 12, 2016 03:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo
Dec 11, 2016 23:11Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.
-
Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo
Dec 09, 2016 10:42Maafisa sita wa polisi nchini Misri wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa leo Ijumaa baada ya bomu la kutegwa barabarnai kulipuka katika kituo kimoja cha upekuzi mjini Cairo.
-
Al Azhar yasisitiza kulindwa vijana mkabala wa fikra potofu
Dec 07, 2016 23:39Naibu wa Sheikhul Azhar wa Misri amewataka maulamaa wa Kiislamu wawaunge mkono zaidi vijana kukabiliana na hujuma za kifikra za maadui.
-
Mtandao mkuu wa kuuza viungo vya wanadamu Misri wavunjwa
Dec 07, 2016 04:18Misri imevunja mtandao mkubwa ambao umekuwa ukifanya magendo ya viungo vya wanadamu katika nchi mbali mbali duniani.
-
Misri yasambaratisha genge la kijasusi mjini Cairo, ni la nchi moja ya Kiarabu
Dec 05, 2016 00:47Shirika la Usalama la Misri jana Jumapili lilifanikiwa kusambaratisha genge moja la kijasusi la watu watano ambalo lilikuwa linaongozwa na afisa mmoja wa kijasusi wa nchi moja ya Kiarabu.
-
Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi
Dec 01, 2016 04:07Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.
-
Darul-Iftaa Misri: Dini zote ziungane kupambana na makundi ya kigaidi
Nov 28, 2016 23:32Kituo cha kupambana na misimamo mikali cha Darul-Iftaa nchini Misri kimetangaza kuwa, kuna ulazima wa dini zote za mbinguni kuungana kukabiliana na jinai zinazofanywa na makundi ya kigaidi.
-
Hitilafu za kimitazamo baina ya Misri na Saudi Arabia katika uga wa kimataifa
Nov 28, 2016 04:29Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, serikali ya Cairo haiwezi kuwa mwana mtiifu wa Saudi Arabia na kutekeleza kila inachoamrishwa na Riyadh katika uga wa uhusiano wa kieneo na kimataifa.
-
El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia
Nov 27, 2016 12:30Rais wa Misri amesema, nchi yake kamwe haiwezi kufuata maamrisho ya Saudi Arabia katika mahusiano yake ya kieneo na kimataifa.