Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Dec 12, 2016 03:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo

    Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo

    Dec 11, 2016 23:11

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.

  • Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo

    Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo

    Dec 09, 2016 10:42

    Maafisa sita wa polisi nchini Misri wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa leo Ijumaa baada ya bomu la kutegwa barabarnai kulipuka katika kituo kimoja cha upekuzi mjini Cairo.

  • Al Azhar yasisitiza kulindwa vijana mkabala wa fikra potofu

    Al Azhar yasisitiza kulindwa vijana mkabala wa fikra potofu

    Dec 07, 2016 23:39

    Naibu wa Sheikhul Azhar wa Misri amewataka maulamaa wa Kiislamu wawaunge mkono zaidi vijana kukabiliana na hujuma za kifikra za maadui.

  • Mtandao mkuu wa kuuza viungo vya wanadamu Misri wavunjwa

    Mtandao mkuu wa kuuza viungo vya wanadamu Misri wavunjwa

    Dec 07, 2016 04:18

    Misri imevunja mtandao mkubwa ambao umekuwa ukifanya magendo ya viungo vya wanadamu katika nchi mbali mbali duniani.

  • Misri yasambaratisha genge la kijasusi mjini Cairo, ni la nchi moja ya Kiarabu

    Misri yasambaratisha genge la kijasusi mjini Cairo, ni la nchi moja ya Kiarabu

    Dec 05, 2016 00:47

    Shirika la Usalama la Misri jana Jumapili lilifanikiwa kusambaratisha genge moja la kijasusi la watu watano ambalo lilikuwa linaongozwa na afisa mmoja wa kijasusi wa nchi moja ya Kiarabu.

  • Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Dec 01, 2016 04:07

    Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Darul-Iftaa Misri: Dini zote ziungane kupambana na makundi ya kigaidi

    Darul-Iftaa Misri: Dini zote ziungane kupambana na makundi ya kigaidi

    Nov 28, 2016 23:32

    Kituo cha kupambana na misimamo mikali cha Darul-Iftaa nchini Misri kimetangaza kuwa, kuna ulazima wa dini zote za mbinguni kuungana kukabiliana na jinai zinazofanywa na makundi ya kigaidi.

  • Hitilafu za kimitazamo baina ya Misri na Saudi Arabia katika uga wa kimataifa

    Hitilafu za kimitazamo baina ya Misri na Saudi Arabia katika uga wa kimataifa

    Nov 28, 2016 04:29

    Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, serikali ya Cairo haiwezi kuwa mwana mtiifu wa Saudi Arabia na kutekeleza kila inachoamrishwa na Riyadh katika uga wa uhusiano wa kieneo na kimataifa.

  • El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia

    El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia

    Nov 27, 2016 12:30

    Rais wa Misri amesema, nchi yake kamwe haiwezi kufuata maamrisho ya Saudi Arabia katika mahusiano yake ya kieneo na kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS