Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Darul-Iftaa Misri: Dini zote ziungane kupambana na makundi ya kigaidi

    Darul-Iftaa Misri: Dini zote ziungane kupambana na makundi ya kigaidi

    Nov 28, 2016 23:32

    Kituo cha kupambana na misimamo mikali cha Darul-Iftaa nchini Misri kimetangaza kuwa, kuna ulazima wa dini zote za mbinguni kuungana kukabiliana na jinai zinazofanywa na makundi ya kigaidi.

  • Hitilafu za kimitazamo baina ya Misri na Saudi Arabia katika uga wa kimataifa

    Hitilafu za kimitazamo baina ya Misri na Saudi Arabia katika uga wa kimataifa

    Nov 28, 2016 04:29

    Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, serikali ya Cairo haiwezi kuwa mwana mtiifu wa Saudi Arabia na kutekeleza kila inachoamrishwa na Riyadh katika uga wa uhusiano wa kieneo na kimataifa.

  • El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia

    El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia

    Nov 27, 2016 12:30

    Rais wa Misri amesema, nchi yake kamwe haiwezi kufuata maamrisho ya Saudi Arabia katika mahusiano yake ya kieneo na kimataifa.

  • Ukurasa mpya wa uhusiano baina ya serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Ukurasa mpya wa uhusiano baina ya serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Nov 26, 2016 03:27

    Mabadiliko yanayoonekana katika siasa na vyombo vya mahakama nchini Misri yananaonesha kwamba, kuna uwezekano wa kushuhudiwa ukurasa mpya katika uhusiano wa serikali ya Misri na kundi la Ikhwanul Muslimin.

  • Ikhwani Misri yakanusha kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi

    Ikhwani Misri yakanusha kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi

    Nov 25, 2016 04:40

    Harakati ya Ikhwanul Muslimina ya Misri imekanusha madai kuwa chama hicho kinashirikiana na makundi ya kigaidi.

  • Askari 8 Misri wauawa katika mripuko wa bomu Peninsula ya Sinai

    Askari 8 Misri wauawa katika mripuko wa bomu Peninsula ya Sinai

    Nov 25, 2016 01:15

    Askari 8 wameuawa katika shambulio la bomu huko Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kubadilika misimamo ya Misri kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Kubadilika misimamo ya Misri kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Nov 24, 2016 03:41

    Rais wa Jamhuri ya Misri ametangaza kuwa, nchi yake inayaunga mkono majeshi ya serikali za Syria na Iraq katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.

  • Misri yaunga mkono mapambano ya serikali za  Syria, Iraq dhidi ya magaidi

    Misri yaunga mkono mapambano ya serikali za Syria, Iraq dhidi ya magaidi

    Nov 23, 2016 10:35

    Rais wa Misri ametangaza kuwa, nchi yake inaunga mkono majeshi ya nchi za Iraq na Syria katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.

  • Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri

    Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri

    Nov 21, 2016 04:11

    Hisia tofauti zimeendelea kutolewa kwenye mitandao ya kijamii baada ya wafuasi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS kusambaza picha za wanazuoni wawili wa Kisuni waliowachinja kwa kuwakata vichwa katika eneo la Sinai.

  • Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Nov 20, 2016 09:14

    Habari kutoka nchini Misi zinaonesha kuendelea kukandamizwa waandishi wa habari na serikali ya Rais Abdul Fattah el Sisi wa nchi hiyo na kuzidi kubanwa tasnia ya uandishi wa habari katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Hatua ya karibuni kabisa ni kitendo cha mahakama moja ya Misri cha kuwafunga jela miaka miwili mkuu wa chama cha waandishi wa habari na wanachama wawili wa chama hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS