-
Ukurasa mpya wa uhusiano baina ya serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin
Nov 26, 2016 03:27Mabadiliko yanayoonekana katika siasa na vyombo vya mahakama nchini Misri yananaonesha kwamba, kuna uwezekano wa kushuhudiwa ukurasa mpya katika uhusiano wa serikali ya Misri na kundi la Ikhwanul Muslimin.
-
Ikhwani Misri yakanusha kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi
Nov 25, 2016 04:40Harakati ya Ikhwanul Muslimina ya Misri imekanusha madai kuwa chama hicho kinashirikiana na makundi ya kigaidi.
-
Askari 8 Misri wauawa katika mripuko wa bomu Peninsula ya Sinai
Nov 25, 2016 01:15Askari 8 wameuawa katika shambulio la bomu huko Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Kubadilika misimamo ya Misri kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati
Nov 24, 2016 03:41Rais wa Jamhuri ya Misri ametangaza kuwa, nchi yake inayaunga mkono majeshi ya serikali za Syria na Iraq katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.
-
Misri yaunga mkono mapambano ya serikali za Syria, Iraq dhidi ya magaidi
Nov 23, 2016 10:35Rais wa Misri ametangaza kuwa, nchi yake inaunga mkono majeshi ya nchi za Iraq na Syria katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.
-
Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri
Nov 21, 2016 04:11Hisia tofauti zimeendelea kutolewa kwenye mitandao ya kijamii baada ya wafuasi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS kusambaza picha za wanazuoni wawili wa Kisuni waliowachinja kwa kuwakata vichwa katika eneo la Sinai.
-
Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri
Nov 20, 2016 09:14Habari kutoka nchini Misi zinaonesha kuendelea kukandamizwa waandishi wa habari na serikali ya Rais Abdul Fattah el Sisi wa nchi hiyo na kuzidi kubanwa tasnia ya uandishi wa habari katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Hatua ya karibuni kabisa ni kitendo cha mahakama moja ya Misri cha kuwafunga jela miaka miwili mkuu wa chama cha waandishi wa habari na wanachama wawili wa chama hicho.
-
Rais el-Sisi atoa msamaha kwa wafungwa vijana 82 nchini Misri
Nov 18, 2016 11:22Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametoa msamaha kwa wafungwa vijana 82 waliokuwa wakitumikia vifungo vyao jela.
-
Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri
Nov 16, 2016 10:42Bunge la Misri limepasisha mswada kwa ajili ya kubana shughuli za taasisi zisizo za kiserikali nchini humo.
-
Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke
Nov 16, 2016 04:25Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.